ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,813
- 45,495
Tufanye umeambiwa uchague vyakula fulani bora ila vichache na itakubidi ndo uvile maisha yako yote usibadilishe aina nyingine me nadhani ambavyo ningeweza kufikiria vingekuwa ni.
1.parachichi Kwa sababu ya afya ya moyo.
2.kabeji au tembere maana ina vitamini k,na itazuia saratani.
3.samaki maana mafuta yake mazur hayana cholesterol.
4.kitunguu saumu na cha kawaida pale nakuwa nimemaliza Kwa ishu ya pressure
5.karanga na Maharage hapo nakuwa nimemaliza Kwa ishu ya kupata protini.
6.machungwa hapa nafukuzi vitamini C.
7.viazi vitamu chanzo kikubwa cha carbohydrate
Maana yangu ni nini yaani kama ukichagua hivyo ndo ujue vyakula vingine vya kawaida hutakula maishani sijui wali, kitimoto, dagaa, ugali, n. K
1.parachichi Kwa sababu ya afya ya moyo.
2.kabeji au tembere maana ina vitamini k,na itazuia saratani.
3.samaki maana mafuta yake mazur hayana cholesterol.
4.kitunguu saumu na cha kawaida pale nakuwa nimemaliza Kwa ishu ya pressure
5.karanga na Maharage hapo nakuwa nimemaliza Kwa ishu ya kupata protini.
6.machungwa hapa nafukuzi vitamini C.
7.viazi vitamu chanzo kikubwa cha carbohydrate
Maana yangu ni nini yaani kama ukichagua hivyo ndo ujue vyakula vingine vya kawaida hutakula maishani sijui wali, kitimoto, dagaa, ugali, n. K