Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

โˆ…๐˜ ๐˜ฐ๐˜ถ ๐˜ค๐˜ข๐˜ฏ'๐˜ต ๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฆ ๐˜ต๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด ๐˜ค๐˜ฐ๐˜ฎ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฏ๐˜ต ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ค๐˜ข๐˜ถ๐˜ด๐˜ฆ ๐˜บ๐˜ฐ๐˜ถ ๐˜ข๐˜ณ๐˜ฆ ๐˜ถ๐˜ด๐˜ช๐˜ฏ๐˜จ ๐˜ข ๐˜Š๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฆ ๐˜ฎ๐˜ฐ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ฆ
Hahahah
 
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu, kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu.

Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha.

Kwa faida ya wengi Embu tuelezee uliyokutana nayo huko ikibidi anziaha Thread kabisa ya uliyoyaona chini ya bahari.
 
Kilomita 11 kwenda chini. Urefu wa kawaida wa bahari za dunia ni kilomita 7 hadi 8 ila kuna maeneo yana kina kirefu cha kilomita 10-11

Bahari ina maajabu
The average depth of the ocean is about 3,688 meters (12,100 feet). The deepest part of the ocean is called the Challenger Deep and is located beneath the western Pacific Ocean in the southern end of the Mariana Trench, which runs several hundred kilometers southwest of the U.S. territorial island of Guam. Challenger Deep is approximately 10,935 meters (35,876 feet) deep

unasemaje kuhusu hiyo from google
 
inawezekana labda ni kweli maana eneo kubwa la Dunia limetawaliwa na maji.
icho kidoti(point nemo) ni kisiwa kilichopo kwenye bahari ya Pasific.
picha imepigwa na kituo cha anga cha kimataifa ISS.

FB_IMG_1674120084932.jpg
 
Back
Top Bottom