Ifike mahala tumpe heshima yake uyu kiumbe,(Messi)

Mkuu unachosema ni ukweli kabisaaa Mimi ni mmoja wapo mtu niliyekuwa namwona jamaa anatisha ila ila hamzidi CR7....Ila baada ya Mechi ya Jana usiku nilimwangalia huyu messi kwa umakini sana na binafsi nimenyoosha mikono! Huyu jamaa balaaa jamani...Ronaldo namkubali ila shidaa yake akishapigwa pini anabaki kulalama tu.....ila mess lazima akupunguze tu na ujue unakadi yako inakusubiri! Shikamoo Mess
Marahaba kwa niaba yake, ntampa nikienda camp nou
 
18119260_1863000707291302_3972989289561518573_n.jpg
KAMA kwake
 
Hivi hata World Cup Final kati ya Messi na Cr7 nani kafika mara kibao na nani hajafika kabisaa?
make kufika tu ni ishara tosha ya ubora wako.
Mpira siku hizi umekuwa kama table tennis au riadha tunalinganisha ubora wa mtu kwa kuangalia World Cup pekee, vingenevyo wasingekua wanabadilishana mchezaji bora wa Ulaya na CR7 kila mwaka
 
Kwa nilichokiona jana, mess ni habari ingine kabisa. Anaujua mpira kwelikweli. Barcelona kama tim inayumba lakini sio mess.
mess ni mtu wa kutengenezewa kisha yeye anamalizia, hahangaiki kama ronaldo hiyo ndio tofauti yao ninayoiona
 
Ni vizuri tukapima mafanikio ya mchezaji ngazi ya club,timu ya taifa na makombe mbalimbali...mess ndiyo mchezaji mzuri saana ila akiwa Barcelona tu...teh teh
Ni mtazamo kama huu ndio unakuziba usione ukweli wa mambo.

Ukiacha mahaba yakuendeshe utashindwa kuenjoy gifts from God creation. Mwenzio Mimi ni fans wa timu tofauti ila I'm feeling and enjoying messi skills and talent.

It takes years kumpata mtu wa kariba ya Messi. Kwa hiyo enjoy yourself bro before the era is over.

Resurrection of messi...yaani messi huyu ni wa msimu wa 2006-2007.
 
Mkuu unachosema ni ukweli kabisaaa Mimi ni mmoja wapo mtu niliyekuwa namwona jamaa anatisha ila ila hamzidi CR7....Ila baada ya Mechi ya Jana usiku nilimwangalia huyu messi kwa umakini sana na binafsi nimenyoosha mikono! Huyu jamaa balaaa jamani...Ronaldo namkubali ila shidaa yake akishapigwa pini anabaki kulalama tu.....ila mess lazima akupunguze tu na ujue unakadi yako inakusubiri! Shikamoo Mess
Hata Cleopatra hakupendwa na wanaume wote, nchini kwake kwenyew hapendw na mashabiki wa soka sembuse wew kutoka tanzagiza
 
messi shimaoooooo.....CR7 ANAKABIKA, ANASUBURI ACHEZESHEWE, HANA PASI ZA KUWASAIDIA WEZAKE, AKIKABWA KELELE KIBAO, UKIMCHEZEA RAFU ANAONGEA SANA, messi ndio kwanza ananyanyuka kazi unayo NARUDIA TENA MESSI SHIKAMOO BOSSSSSSSSSSSSSS
 
Back
Top Bottom