Kesho Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan ataongoza waombolezaji,wakazi wa Arusha na watanzania kwa ujumla kuaga miili ya wanafunzi, walimu na dreva waliofariki wilayani Karatu Jana ktk ajali mbaya ambayo imesababisha vifo vya Watoto wa shule ya Luck Vincent ya kwa Morombo Arusha
Kwa mujibu tangazo lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mwisho Gambo shughuli nzima itaanza saa mbili asubuhi.
MUNGU awe mlinzi mkuu ktk shughuli nzima ya kuuga miili ya wapendwa wetu.
Tunaungana na wazazi,ndugu, marafiki walikopoteza wapendwa wao ktk ajali hii ya mbaya.
Jamii Forum tunashukuru kwa kuonyesha ushirikiano wa maombolezo kwa kubadili rangi ya baadhi background ya website