cai
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 1,351
- 1,330
Kusema ukweli kwenye paperwork kipindi Kile alikuwaga mtamu, ila kwenye presentation unaweza usiamini km ndo yy aliyeandika, ukimtekenya kidogo hakawii kupanic, sasa na hapa bungeni hapamtoshi angebaki tu ofisini kuandaa makaratasi, sasa ukichanganya chama alichopo na lisu kashamjulia huyu jamaa basi ni fulu kumpagawisha