Huyu mlokole ni wa ajabu sana. Anafanya mambo ya ajabu! Msaidieni jamani

Setfree

JF-Expert Member
Dec 25, 2024
2,334
3,049
  1. Huyu mlokole anafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika kubwa, lakini hajawahi kuiba hata senti. Eti anasema wezi hawataingia mbinguni. Mtu ana nafasi ya kutajirika haraka kwa pesa za shirika, yeye anakomalia uaminifu. Ujinga mtupu!
  2. Akipanda magari ya abiria, akizidishiwa chenji, anamrudishia konda pesa iliyozidi. Kweli huyu mtu hana akili! Wengine wangetumia nafasi hiyo kufurahia "baraka za ghafla," lakini yeye anang'ang'ana na uaminifu.
  3. Ukikutana naye, anajisifia eti hajawahi kuugua kisonono wala kaswende. Hayo magonjwa ndiyo "stori za mjini"! Eti yeye anajivunia maisha ya usafi. Mjinga sana huyu!
  4. Akikosewa au mtu akimtukana, hajibu matusi wala kupigana. Anaamini eti "kisasi atalipa Bwana," badala ya kujitetea kwa ngumi kama mwanaume. Ujinga mtupu!
  5. Huyu mlokole tangu aoe hajawahi kumpiga mke wake. Mke akimkosea, anamsamehe badala ya kumpiga na kumfundisha "adabu." Hii kweli siyo mental illness?
  6. Hawezi kusema uongo hata kidogo, hata kama uongo unamsaidia kukwepa matatizo. Eti anasema waongo watatupwa motoni. Huyu amewehuka!
  7. Akipata mshahara wake, anatoa fungu la kumi na kuwasaidia maskini. Jamani, badala ya kujilimbikizia mali yake, anawaza kusaidia wengine! Kweli huyu hana akili.
  8. Ana watoto wazuri, eti anawalea kwa maadili ya Kikristo badala ya kuwaacha "waende na wakati." Anawazuia wasitazame picha chafu kwenye mitandao, eti Mungu hapendi. Huyu mtu amepitwa na wakati!
😂😂😂 Kama maisha hayo ndio ujinga, basi heri niitwe mjinga x 100000000000000 🔥🔥
 
Huyu Mlokole kweli ana matatizo! Tufanyeje tuondoe ujinga wake?
  • Akiishiwa, hakubali kupokea rushwa ili apate utajiri wa haraka. Anaamini eti baraka zinatoka kwa Mungu, si kwa njia za mkato! Huyu mtu hafai dunia hii!
  • Hajawahi kusema maneno machafu wala matusi. Eti kinywa chake ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu, si kwa kulaani watu! Wengine "wanamwaga sera" kwa lugha kali, lakini yeye eti anasema "maneno ya neema"!
  • Ameamua kuishi maisha ya uaminifu kazini kwake hata kama atabaki maskini. Eti anasema heri apate kidogo kwa haki kuliko utajiri wa dhuluma! Weh, kweli huyu hajielewi!
  • Anawaheshimu viongozi wa serikali na kuwaombea badala ya kuwakashifu. Eti anasema Biblia imeagiza kuwaombea wenye mamlaka na kuwaheshimu! Huyu jamaa zimefyatuka?
  • Anaishi kwa furaha hata kama hana vitu vya kifahari. Eti anasema "furaha ya Bwana ndiyo nguvu yake." Ana kigari kidogo na hata nyumba hajajenga lakini anacheka tu! Mjinga kweli!
  • Hataki kutumia "mchezo mchafu" ili apate zabuni au kandarasi. Eti anasema anategemea Mungu amfungulie milango! Hajui duniani ni “toa kitu kidogo” ili mambo yaende?
  • Anaweza kumsaidia mtu bila kutegemea malipo au shukrani. Eti anasema anafanya mema kama kwa Bwana, si kwa wanadamu! Hajui watu wa siku hizi hutoa msaada kwa masharti?
  • Hapendi kujionyesha wala kuwaringishia watu mali zake. Eti anasema majivuno ni ya dunia na hayampendezi Mungu! Sasa utajulikanaje una mali kama hujioneshi mitandaoni?
  • Akipewa pesa ampelekee mtu, hata kama ni nyingi, atazilinda na kumpelekea kama zilivyo. Eti anasema uaminifu ni bora kuliko dhahabu! Hajui siku hizi watu wanaita pesa ya mtu “mali ya bure”?
  • Akisikia jirani yake ana shida, anaenda kumsaidia hata bila kuitwa. Eti anasema "Mpende jirani yako kama nafsi yako" Dunia ya sasa ni “kila mtu na maisha yake”
  • Anawapenda hata wale wanaomchukia na kumdhihaki. Eti anasema "Mpende adui yako, umwombee." Yaani mtu anakudhalilisha, badala ya kumlima kibao, unamwombea?
😂😂😂 Huyu mlokole ni mjinga au ndiye mwenye hekima? 🔥🔥
 
Huyu Mlokole kweli ana matatizo! Tufanyeje tumsaidie?
  • Akiishiwa, hakubali kupokea rushwa ili apate utajiri wa haraka. Anaamini eti baraka zinatoka kwa Mungu, si kwa njia za mkato! Huyu mtu hafai dunia hii!
  • Hajawahi kusema maneno machafu wala matusi. Eti kinywa chake ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu, si kwa kulaani watu! Wengine "wanamwaga sera" kwa lugha kali, lakini yeye eti anasema "maneno ya neema"!
  • Ameamua kuishi maisha ya uaminifu kazini kwake hata kama atabaki maskini. Eti anasema heri apate kidogo kwa haki kuliko utajiri wa dhuluma! Weh, kweli huyu hajielewi!
  • Anawaheshimu viongozi wa serikali na kuwaombea badala ya kuwakashifu. Eti anasema Biblia imeagiza kuwaombea wenye mamlaka na kuwaheshimu! Huyu jamaa zimefyatuka?
  • Anaishi kwa furaha hata kama hana vitu vya kifahari. Eti anasema "furaha ya Bwana ndiyo nguvu yake." Ana kigari kidogo na hata nyumba hajajenga lakini anacheka tu! Mjinga kweli!
  • Hataki kutumia "mchezo mchafu" ili apate zabuni au kandarasi. Eti anasema anategemea Mungu amfungulie milango! Hajui duniani ni “toa kitu kidogo” ili mambo yaende?
  • Anaweza kumsaidia mtu bila kutegemea malipo au shukrani. Eti anasema anafanya mema kama kwa Bwana, si kwa wanadamu! Hajui watu wa siku hizi hutoa msaada kwa masharti?
  • Hapendi kujionyesha wala kuwaringishia watu mali zake. Eti anasema majivuno ni ya dunia na hayampendezi Mungu! Sasa utajulikanaje una mali kama hujioneshi mitandaoni?
  • Akipewa pesa ampelekee mtu, hata kama ni nyingi, atazilinda na kumpelekea kama zilivyo. Eti anasema uaminifu ni bora kuliko dhahabu! Hajui siku hizi watu wanaita pesa ya mtu “mali ya bure”?
  • Akisikia jirani yake ana shida, anaenda kumsaidia hata bila kuitwa. Eti anasema "Mpende jirani yako kama nafsi yako" Dunia ya sasa ni “kila mtu na maisha yake”
  • Anawapenda hata wale wanaomchukia na kumdhihaki. Eti anasema "Mpende adui yako, umwombee." Yaani mtu anakudhalilisha, badala ya kumlima kibao, unamwombea?
😂😂😂 Huyu mlokole ni mjinga au ndiye mwenye hekima? 🔥🔥
Eti huu nao ni uzi tuchangie?? JF imekuwa kokoro
 
Zaidi ya yote hakuna mwanadamu mkamilifu wote wamepotoka,

Ajikwezae atadhiliwa anyenyekea atakwezwa.

Usijihesabie utakatifu ukaona wengine wanadhambi kukuzidi.

Usiwe MWEMA sana,
Usiwe MWOVU sana,
Usiwe na HEKIMA sana machoni pako!

Kwanini ufe kabla ya wakati wako?

-Mhu 7:16
 
  1. Huyu mlokole anafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika kubwa, lakini hajawahi kuiba hata senti. Eti anasema wezi hawataingia mbinguni. Mtu ana nafasi ya kutajirika haraka kwa pesa za shirika, yeye anakomalia uaminifu. Ujinga mtupu!
  2. Akipanda magari ya abiria, akizidishiwa chenji, anamrudishia konda pesa iliyozidi. Kweli huyu mtu hana akili! Wengine wangetumia nafasi hiyo kufurahia "baraka za ghafla," lakini yeye anang'ang'ana na uaminifu.
  3. Ukikutana naye, anajisifia eti hajawahi kuugua kisonono wala kaswende. Hayo magonjwa ndiyo "stori za mjini"! Eti yeye anajivunia maisha ya usafi. Mjinga sana huyu!
  4. Akikosewa au mtu akimtukana, hajibu matusi wala kupigana. Anaamini eti "kisasi atalipa Bwana," badala ya kujitetea kwa ngumi kama mwanaume. Ujinga mtupu!
  5. Huyu mlokole tangu aoe hajawahi kumpiga mke wake. Mke akimkosea, anamsamehe badala ya kumpiga na kumfundisha "adabu." Hii kweli siyo mental illness?
  6. Hawezi kusema uongo hata kidogo, hata kama uongo unamsaidia kukwepa matatizo. Eti anasema waongo watatupwa motoni. Huyu amewehuka!
  7. Akipata mshahara wake, anatoa fungu la kumi na kuwasaidia maskini. Jamani, badala ya kujilimbikizia mali yake, anawaza kusaidia wengine! Kweli huyu hana akili.
  8. Ana watoto wazuri, eti anawalea kwa maadili ya Kikristo badala ya kuwaacha "waende na wakati." Anawazuia wasitazame picha chafu kwenye mitandao, eti Mungu hapendi. Huyu mtu amepitwa na wakati!
😂😂😂 Kama maisha hayo ndio ujinga, basi heri niitwe mjinga x 100000000000000 🔥🔥
Wewe dada nishakuona unaringa sana na hayo maimani yako sana
 
  1. Huyu mlokole anafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika kubwa, lakini hajawahi kuiba hata senti. Eti anasema wezi hawataingia mbinguni. Mtu ana nafasi ya kutajirika haraka kwa pesa za shirika, yeye anakomalia uaminifu. Ujinga mtupu!
  2. Akipanda magari ya abiria, akizidishiwa chenji, anamrudishia konda pesa iliyozidi. Kweli huyu mtu hana akili! Wengine wangetumia nafasi hiyo kufurahia "baraka za ghafla," lakini yeye anang'ang'ana na uaminifu.
  3. Ukikutana naye, anajisifia eti hajawahi kuugua kisonono wala kaswende. Hayo magonjwa ndiyo "stori za mjini"! Eti yeye anajivunia maisha ya usafi. Mjinga sana huyu!
  4. Akikosewa au mtu akimtukana, hajibu matusi wala kupigana. Anaamini eti "kisasi atalipa Bwana," badala ya kujitetea kwa ngumi kama mwanaume. Ujinga mtupu!
  5. Huyu mlokole tangu aoe hajawahi kumpiga mke wake. Mke akimkosea, anamsamehe badala ya kumpiga na kumfundisha "adabu." Hii kweli siyo mental illness?
  6. Hawezi kusema uongo hata kidogo, hata kama uongo unamsaidia kukwepa matatizo. Eti anasema waongo watatupwa motoni. Huyu amewehuka!
  7. Akipata mshahara wake, anatoa fungu la kumi na kuwasaidia maskini. Jamani, badala ya kujilimbikizia mali yake, anawaza kusaidia wengine! Kweli huyu hana akili.
  8. Ana watoto wazuri, eti anawalea kwa maadili ya Kikristo badala ya kuwaacha "waende na wakati." Anawazuia wasitazame picha chafu kwenye mitandao, eti Mungu hapendi. Huyu mtu amepitwa na wakati!
😂😂😂 Kama maisha hayo ndio ujinga, basi heri niitwe mjinga x 100000000000000 🔥🔥
Yote umeenda SAWA ila hapo pa kupiga mke sijakuelewa hao bila kipigo utakufa kwa stress
 
  1. Huyu mlokole anafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika kubwa, lakini hajawahi kuiba hata senti. Eti anasema wezi hawataingia mbinguni. Mtu ana nafasi ya kutajirika haraka kwa pesa za shirika, yeye anakomalia uaminifu. Ujinga mtupu!
  2. Akipanda magari ya abiria, akizidishiwa chenji, anamrudishia konda pesa iliyozidi. Kweli huyu mtu hana akili! Wengine wangetumia nafasi hiyo kufurahia "baraka za ghafla," lakini yeye anang'ang'ana na uaminifu.
  3. Ukikutana naye, anajisifia eti hajawahi kuugua kisonono wala kaswende. Hayo magonjwa ndiyo "stori za mjini"! Eti yeye anajivunia maisha ya usafi. Mjinga sana huyu!
  4. Akikosewa au mtu akimtukana, hajibu matusi wala kupigana. Anaamini eti "kisasi atalipa Bwana," badala ya kujitetea kwa ngumi kama mwanaume. Ujinga mtupu!
  5. Huyu mlokole tangu aoe hajawahi kumpiga mke wake. Mke akimkosea, anamsamehe badala ya kumpiga na kumfundisha "adabu." Hii kweli siyo mental illness?
  6. Hawezi kusema uongo hata kidogo, hata kama uongo unamsaidia kukwepa matatizo. Eti anasema waongo watatupwa motoni. Huyu amewehuka!
  7. Akipata mshahara wake, anatoa fungu la kumi na kuwasaidia maskini. Jamani, badala ya kujilimbikizia mali yake, anawaza kusaidia wengine! Kweli huyu hana akili.
  8. Ana watoto wazuri, eti anawalea kwa maadili ya Kikristo badala ya kuwaacha "waende na wakati." Anawazuia wasitazame picha chafu kwenye mitandao, eti Mungu hapendi. Huyu mtu amepitwa na wakati!
😂😂😂 Kama maisha hayo ndio ujinga, basi heri niitwe mjinga x 100000000000000 🔥🔥
Kwani kuna muumini wa dini za kigeni mwenye akili timamu mwanangu?
 
Back
Top Bottom