Huu usajili wa Catherine Ruge unaleta Utata kwa wengi

FB_IMG_1494116225573.jpg
FB_IMG_1494116360758.jpg
FB_IMG_1494116420496.jpg
 
Nadhani mtoa mada ameangalia social life ya Mbunge mteule lakini huyu Dada ni mpiganaji kweli kweli ambaye anapigana sana na kuhakikisha wanawake wananyanyuka kiuchumi.

Na ni balozi Mzuri sana kupitia Umoja wa Mataifa ktk Woman empowerment.

Hizo post zake na picha zake ni social life tu wala si kigezo cha tabia mbaya wala kutoa kuwa makini na majukumu yake inategemea amekulia ktk familia za maisha yapi!!
Mkuu umemwambia ukweli huyu mkuu mwenzetu ingawa huwa naona itikadi yako imelalia sehemu fulani. Jambo jema.
 
Mkuu umemwambia ukweli huyu mkuu mwenzetu ingawa huwa naona itikadi yako imelalia sehemu fulani. Jambo jema.
Nashukuru kwa wote kuyaona hayo hakuna sababu ya kuanza kum discourage MTU hata mchango hujui unaanza kumjengea Negative attitude pasipo na sababu!!

Huyu ndiyo kwanza anaingia anatikiwa kutiwa moyo ili akaonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja!! Na siyo business as usual!!
 
View attachment 505459 View attachment 505460 View attachment 505461 View attachment 505456 View attachment 505457 View attachment 505458
Wakuu,

Kuna watu wanasema kuteuliwa wa Catherine Ruge kuingia katika Bunge la JMT, Dodoma, haujazingatia vigezo. Wengi wanasema yule si kilema, kwanini CHADEMA wasiweke kilema kuwakilisha vilema kuchukuwa nafasi ya marehemu aliyekuwa Mbunge mlemavu?

Wengi wanasema yawezekana ulemavu wa binti huyu unajulikana kwa wakubwa tu, ndo maana wamekuwa vipofu wa kufanya maamuzi yatakayokuwa na tija kwa taifa.

Sisi kama GT tunasemaje?

Hapa nimeona mambo yake. Ni kweli kilema chake wanajua wakubwa tu?

Kama mtu unajiandaa kuwa kiongozi kuna mambo hukutakiwa kuwaza kuyafanya, kuandika kabisa...

Hata kama ni social life lakini hapa hakujiandaa kuwa kiongozi nadhani hii ni zawadi na sababu wanajua wakubwa.

Anayejiandaa kuwa kiongozi hawezi kupost chochote kwenye social media au kupiga picha yoyote kwa kigezo cha kuwa social.
 
Kwanza angetueleza Kama Dr. Macha aliingia bungeni kwa ticket ya ulemavu au wanawake? Watu wanaropoka hata hawajui marehemu Dr Macha alikua kundi gani. Ila kwakua walimuona ana ulemavu tu.

NB: Baada ya Dr. Possi kufanyiwa sub mtueleze kati ya Kabudi na Bulembo ni nani zeruzeru?
Hao waliteuliwa kabla Possi hajaondolewa. Possible aliondolewa ili kukidhi matakwa ya kikatiba baada ya wabunge wakuteuliwa wa kiume kuzidi watano.
 
Ufipa -kinondoni, hii mada ina ukakasi Sana.

Kwanza, NEC ndiyo inayochagua hao Wanawake wa viti maalum kama pana aliyefariki.

Pili, nafasi hiyo siyo kwa vigezo vya KE awe mlemavu

Tatu, watu wote hasa Wanawake kuwa katika siasa haina maana kuwa maisha yao ya mahusiano , mapenzi hadi ngono husimama la hasha. Bali hufanyika kwa heshima na nidhamu. Sababu, siasa haiwabadilishi kutokuwa na hisia za kiutu.

Tatizo lako, umejaa USHILAWADU!! , ndiyo maana ukaleta hizo SMS za Ms. Ruge na kuziwekea maneno yako machafu.

Nne, mbona huleti picha za wanaume wanasiasa wanaofanya ufukusa na ulevi. Au hujui kuwa nao ni wachafu zaidi,!?

Tano, hakika umewakosea sana Wanawake wote kwa uzi huu tena ni unyanyasaji wa kijinsia ulioufanya hapa wa kumdharau huyo Ms. Ruge.

Halafu, tambua hakuna msafi kwenye hii Dunia ya Mungu: Yenye vitu vya mzungu koko!!!

Asante sana umetutendea haki wanawake pamoja na Mama yako.

Hongera mwanakwetu.Wanaume wengi wanafikiri mwanamke akiwa mwanasiasa basi lazima awe ana mahusiano ya kimapenzi na Viongozi wao.

Kuna wanaume si riziki na wako CCM na wananyadhifa nzito sijawahi kuona akiweka Uzi hapa labda sababu anaguswa kwa JINSIA na ITIKADI yake.

Hakika ni wakati wa wanawake kuheshimika.Japo kwa upande wangu sababu kiti hicho kilishikwa na Mlemavi NEC wangeweza kabisa kupata Mlemavu mwenye weledi na uwezo na wakashauriana na Chama husika yaani CDM.
 
Mwenye akili anajua unapokuwa kiongozi katika jamii unatakiwa uwe vipi. Usilete za Wema useme utakuwa kiongozi.

Usajili wa kisanii kama huu hausaidii taifa bali wakubwa wenu tu.

Kuna watu wa Chafu wanawake wa CCM lakini sijawahi kusikia wala kuona ukisema Uzi humu.

Maneno au mawasiliano ya kwenye mitandao yasiwe kigezo cha kumtukana au kudhalilishwa utu wa MTU.

Kabla hujaandika upumbavu anza kujitathmin wewe mwenyewe.
 
Yaani we akili zako unajua huu usajili mzuri?
Huyu atabaki anatukana tu kwa maana akili zake wanajua wachache
Nashukuru kwa wote kuyaona hayo hakuna sababu ya kuanza kum discourage MTU hata mchango hujui unaanza kumjengea Negative attitude pasipo na sababu!!

Huyu ndiyo kwanza anaingia anatikiwa kutiwa moyo ili akaonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja!! Na siyo business as usual!!
 
Kutetea wanaokosa ni jadi yengine ndani ya chama. Ila ukweli unabaki pale pale, kiongozi ni kioo cha jamii huhitajiki kuwa mtu wa mawaa hata kidogo
Kuna watu wa Chafu wanawake wa CCM lakini sijawahi kusikia wala kuona ukisema Uzi humu.

Maneno au mawasiliano ya kwenye mitandao yasiwe kigezo cha kumtukana au kudhalilishwa utu wa MTU.

Kabla hujaandika upumbavu anza kujitathmin wewe mwenyewe.
 
Kwanza angetueleza Kama Dr. Macha aliingia bungeni kwa ticket ya ulemavu au wanawake? Watu wanaropoka hata hawajui marehemu Dr Macha alikua kundi gani. Ila kwakua walimuona ana ulemavu tu.

NB: Baada ya Dr. Possi kufanyiwa sub mtueleze kati ya Kabudi na Bulembo ni nani zeruzeru?
We jamaa; haya mawazo unayo siku nyingi au yamekujia ghafla?
 
View attachment 505459 View attachment 505460 View attachment 505461 View attachment 505456 View attachment 505457 View attachment 505458
Wakuu,

Kuna watu wanasema kuteuliwa wa Catherine Ruge kuingia katika Bunge la JMT, Dodoma, haujazingatia vigezo. Wengi wanasema yule si kilema, kwanini CHADEMA wasiweke kilema kuwakilisha vilema kuchukuwa nafasi ya marehemu aliyekuwa Mbunge mlemavu?

Wengi wanasema yawezekana ulemavu wa binti huyu unajulikana kwa wakubwa tu, ndo maana wamekuwa vipofu wa kufanya maamuzi yatakayokuwa na tija kwa taifa.

Sisi kama GT tunasemaje?

Hapa nimeona mambo yake. Ni kweli kilema chake wanajua wakubwa tu?

Kwani Dr. Macha (R.I.P) aliingia bungeni kwa kigezo cha ulemavu? Tuanzie hapo kwanza!

Halafu mimi nilifikiria kwamba ameteuliwa na Tume ya Uchaguzi baada ya kuwa ndo alimfuata marehemu kwa wingi wa kura. Kama nimekosea nirekebishwe.

Halafu its not fair kumhukumu mtu kwa posts za mitandaoni hata kama aliandika yeye. Hivi humu tukifunua ID zetu kwamba kila mtu ahukumiwe kwa maandishi yake kuna atakayepona????

Usirushe mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo ndugu yangu. Wewe jali rekodi yake kama anaweza kuimudu hiyo nafasi yake.
 
Back
Top Bottom