Huu ni utabiri wangu Liverpool atakuwa bingwa Ligi uingereza

OK sawa nenda maduka ya wahindi wana mchele wao unatoka India ni mzuri au nenda maeneo walipo wasomali wanajua sehemu za mchele mimi mwezi ujao ntakua JHB kama ntabeba mchele ntakujulisha ntakujulisha ntakutumia huko utarudisha hela ya kununua tu...
Nashukuru sana mkuu.
Utanijulisha ikiwa hivo.

Naonaga wadau wanakuuliza maswali unatoa ushirikiano mzuri.

Big up sana.
 
Mzuka Wanajamvi!

2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali.

Nilibezwa na kutukanwa kwasababu mzunguko wa kwanza Barcelona ilikuwa ikiongoza 3-0. Na ilikuwa favourite. Liverpool kusonga mbele fainali ilibidi ifunge Barca 4-0 na kabla ya mechi nilitabiri na ikawa hivyo.

Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.

Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.

Na mechi zingine liverpool alizosalia atashinda zote na kutwaa ubingwa.

Senior JF local and international sports analyst and correspondent.

mkorea Chaliifrancisco MAWEED
Man City anachukua ubingwa.
 
Nashukuru sana mkuu.
Utanijulisha ikiwa hivo.

Naonaga wadau wanakuuliza maswali unatoa ushirikiano mzuri.

Big up sana.
Ungeweza ungefatilia hizo sehemu nilizosema uende maana mimi nakuja kabla ya tarehe 10 ,May Wa Malawi huwa wanauza mchele bei ya kawaida tu hapo Jhb inawezekana hata huko ni hivyo hivyo kama wapo wengi maana wao wanakua kama wanauziana wao kwa wao...
 
Ungeweza ungefatilia hizo sehemu nilizosema uende maana mimi nakuja kabla ya tarehe 10 ,May Wa Malawi huwa wanauza mchele bei ya kawaida tu hapo Jhb inawezekana hata huko ni hivyo hivyo kama wapo wengi maana wao wanakua kama wanauziana wao kwa wao...
MREJESHO:
Nimepata chimbo la mchele mzuri. Maeneo ya Salt River panaitwa Fargo Trading (Indian Store).

Niliingia mybroadband forum nikaulizia wa-Sauth wakanielekeza.
Asante sana mkuu. Sasa maisha muruaaa (ingawa hakuna dagaa Cape Town)
 
MREJESHO:
Nimepata chimbo la mchele mzuri. Maeneo ya Salt River panaitwa Fargo Trading (Indian Store).

Niliingia mybroadband forum nikaulizia wa-Sauth wakanielekeza.
Asante sana mkuu. Sasa maisha muruaaa (ingawa hakuna dagaa Cape Town)
OK sawa nipo JHB tayari...dagaa sijajua zipo wapi na adimu kweli maana za kigoma na Zambia zilikua zinauzwa bei juu kidogo hapa muda kidogo huku nakula kwa Wasomali ndio wana chakula kama cha kwetu na chakula chao kizuri..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom