Huu msamiati mpya humu Shuleni na Vyuoni umeingia lini?

Nimeshangaa sana hadi sasa hivi najiuliza na sipati majibu kwani muda si mrefu matokeo yetu ya Mtihani wa Kozi moja hivi ninayoifanya yametoka online na kuna njemba fulani zinaijua namba yangu ya Mtihani wamenipigia Simu huku wakiwa wanacheka huku wakiniambia kuwa Mimi na Wao tume Bashite hivyo eti tunatakiwa kufanya Kimeo chetu cha Sup siku ya Jumanne.

Maana ya 'bashite' ipo hapo juu. Halafu hapo chini unauliza maana ya 'bashite' tena. Hii inaonesha wazi kuwa wewe ni 'bashite'.

Naomba nipatiwe maana na dhana nzima ya huu Msamiati mpya na ambao naona unaanza kushika kasi wa neno Bashite kwani binafsi mpaka sasa sijajua una maana gani ila nikaona kwakuwa humu JF kuna Great Thinkers wa kutukuka kabisa basi sitakosa majibu yake.
 
Bashite na kihiyo wa miaka ya 90 yule aliyetaka kugombea wanajuana? Mkishindwa kujibu mabashite wakubwa nyie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom