Hukumu ya kesi ya vigogo wa TANESCO inachekesha

Hapo hakimuu kaamua kujilipua

Kamkuki nimeamini ni bora ushitakiane na serikali kuliko mtu wa kawaida, na hii inatokana na jinsi kesi baina ya mtu na serikali zinavyoendeshwa, ........ tujikumbushe kidogo huyu kigogo aliunda kampuni yeye na mke wake ya ku-supply vitu tanesco ambapo ni kosa kisheria, (matumizi mabaya ya ofisi) lakini mwisho wa mwisho hata ilo halikuonekana,....... inaniwia vigumu kuamini vyombo vinavyosimamia sheria.
 
Aise huu uuzi naamini kuna watu wanapita kama hawauoni vileee.
Maana hawaoni ndani,wanaona kama uzi wa chukuchuku vile
Hahahahaha,sie bakongomani tuko mukusema may na miso
 
Back
Top Bottom