Yahya Al Sinwar

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
11,922
21,586
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma.

Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.

Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
 
Niliachana nao mwaka jana...

Internet banking ni ya kubembeleza mno, andika barua kama walivyoshauri...ukifuatilia unaambiwa andika barua, nikajiuliza, ya kwanza mmepoteza? Fomu nilizojazishwa zilienda wapi?

Nikaenda branch 3 tofauti, stori ni ile ile...wakanipa mtu wa kushughulikia, akanipigia, nikamueleza, akasema tukutane j'1, eti hayupo na mi nshafika branch...ila stori ni zile zile!

Nikahama mazima, benki X, nafanya transactions online, free!
 
Sijajua kama wao wanajua mteja ni mfalme. Ni sawa CRDB wanataka kwenda kidijitali lakini hawaendani na service ku satisfy customer. Haiwezekani mteja anataka kufanya transaction kwa Simbaking lakini anachukua zaidi ya saa 3 kukamilisha huduma. Hivi hii huduma inarahisha au inachelewesha huduma? Ni Bora tuelekee kwenye benki za kigeni sasa maana watanzania wenzetu mmetuangusha. Mpo faster sana kukata bills kwaajili ya account services lakini kwenye kumuhudumia huyo mteja mmeshindwa.

Naondoka hii benki haifai na sishauri mtu awe mteja benki hii. Ukiendelea just do it at your own risk.
Account yako ina kiasi gani? Ulizaliwa ukaikuta CRDB ama ilianzishwa baada ya wewe kuzaliwa?
 
Nimekosa muda wa kwenda kufanya update ya taarifa zangu NMB. Tawi la Mlimani City na la Magomeni wote wamejaza watu na huduma ni kwa kasi ndogo sana. Nimetoa hela yangu watanitafuta kama wanataka. Uzuri nina acc benki nyingine ya kijanja na la muhimu zaidi mihamala ya kimataifa nafanya.

Ila siwezi enda CRDB. Vodacom M-Pesa inafanya kazi kubwa ya banking industry kuliko mabenki mengi tu ya wazawa.
 
Niliachana nao mwaka jana...

Internet banking ni ya kubembeleza mno, andika barua kama walivyoshauri...ukifuatilia unaambiwa andika barua, nikajiuliza, ya kwanza mmepoteza? Fomu nilizojazishwa zilienda wapi?

Nikaenda branch 3 tofauti, stori ni ile ile...wakanipa mtu wa kushughulikia, akanipigia, nikamueleza, akasema tukutane j'1, eti hayupo na mi nshafika branch...ila stori ni zile zile!

Nikahama mazima, benki X, nafanya transactions online, free!
Aisee hii benki haifai najiandaa kuondoka. Mbona wanafanya biashara kama watu walioridhika sana? Nchi hii duu na hao shareholders wamelala usingizi hawajui cha kufanya au wanapelekeshwa?
 
Mie nilichelewa kwenda kuchukua kadi yangu, wakaniambia imerudi makao makuu, nitoe elfu 32 nitengenezewe kadi nyingine..... Nikaenda mtaa wa pili kufungua akaunti bank nyingine kwa 10k na kadi nikapata.
Aisee hii benki bwana wanapenda kulipisha wateja ila ukiangalia huduma ni zero. Hata Mimi nawahama
 
Nimekosa muda wa kwenda kufanya update ya taarifa zangu NMB. Tawi la Mlimani City na la Magomeni wote wamejaza watu na huduma ni kwa kasi ndogo sana. Nimetoa hela yangu watanitafuta kama wanataka. Uzuri nina acc benki nyingine ya kijanja na la muhimu zaidi mihamala ya kimataifa nafanya.

Ila siwezi enda CRDB. Vodacom M-Pesa inafanya kazi kubwa ya banking industry kuliko mabenki mengi tu ya wazawa.
Ni heri kwa sasa tutumie benki za nje hawa ABSA nimeambiwa wako vizuri kiasi nitaenda huko. Au niende mkombozi au amana kidogo benki za dini hawana umangi mezani.
 
Nimekosa muda wa kwenda kufanya update ya taarifa zangu NMB. Tawi la Mlimani City na la Magomeni wote wamejaza watu na huduma ni kwa kasi ndogo sana. Nimetoa hela yangu watanitafuta kama wanataka. Uzuri nina acc benki nyingine ya kijanja na la muhimu zaidi mihamala ya kimataifa nafanya.

Ila siwezi enda CRDB. Vodacom M-Pesa inafanya kazi kubwa ya banking industry kuliko mabenki mengi tu ya wazawa.
Siku Vodacom Mpesa wakianzisha pochi la biashara kama kenya. Kwamba unaweza kaa mwezi mzima bila kushika cash ndo watateka watu wengi.

Sema kwenye government kuna watu wa hovyo wanauduscourage kwa kuweka matozo kwenye lipa kwa mpesa
 
Niliachana nao mwaka jana...

Internet banking ni ya kubembeleza mno, andika barua kama walivyoshauri...ukifuatilia unaambiwa andika barua, nikajiuliza, ya kwanza mmepoteza? Fomu nilizojazishwa zilienda wapi?

Nikaenda branch 3 tofauti, stori ni ile ile...wakanipa mtu wa kushughulikia, akanipigia, nikamueleza, akasema tukutane j'1, eti hayupo na mi nshafika branch...ila stori ni zile zile!

Nikahama mazima, benki X, nafanya transactions online, free!
Ukiona hivyo ujue nayo ni SU. Mambo bam bam
 
Back
Top Bottom