Stream line
JF-Expert Member
- Apr 22, 2015
- 393
- 239
ghorofa zikifika tano lazima uweke lift
Mkuu nimesema nimechangia uzi huu "in lay man perspective", kama ni chuoni ingekuwa ni assignment kwa kuweka mawazo yangu ya kile ninachodhaniMkuu hii umetoa wapi?....
acheni kusikiliza porojo za watawala gharama waliyopeleka Tba kwenye mradi wa Hostel ilikuwa ni Siasa mradi ule umewakula Pesa nyingi kuliko inayozungumzwa amini ninachokwambia
Mkuu nimesema nimechangia uzi huu "in lay man perspective", kama ni chuoni ingekuwa ni assignment kwa kuweka mawazo yangu ya kile ninachodhani
Hata ya udsm hayahojiki uliwahi ona wapi mchawi anajiroga? Yaani mjenzi wa Yale majengo ndie anayepaswa kuwa mkaguzi sasa nani kamkaguaKwanza kabisa nitangulie kusema uzi huu si wa kupingana wala kui-challenge serikali yangu bali kuibua mjadala ambao utatusaidia kusimamia vema rasilimali za taifa. Sasa naomba kuanzia hapa;
Hostel za UDSM
Naambiwa yapo majengo 20 kila jengo lina ghorofa 4 na gharama yake ni 10bn
Ukichukua majengo 20 X kwa ghorofa 4 utapata ghorofa 80 (floors) ambazo zimetumia 10bn.
Maghorofa ya Magomeni;
Naambiwa yapo majengo 5 kila jengo lina ghorofa 8 hadi 9 na gharama yake ni 20bn. Tufanye wastani wa ghorofa 9 kwa zote.
Ukichukua majengo 5 X kwa ghorofa 9 utapata ghorofa 45 (floors) ambazo zimetumia 20bn
Sasa pale Magomeni kuna shida. Yafaa kuunda tume kuokoa pesa ya taifa maana Jografia ya Dar ni ile ile iweje wametumia pesa nyingi vile?
Naomba changia kwa weledi, usimtukane mtu, usimtukane Kiongozi yeyote maana ni kosa kisheria. Weka point tujifunze usiweke tusi!
Hahahaha....kwel kabsaNyumba za watu kuishi ramani yake haiwezi kufanana na HOSTEL