Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,051
- 5,280
Kuna uzembe mkubwa sana kwenye usimamizi wa hawa ma intern huko mahospitalini
Mwaka juzi nilikuwa na mgonjwa amelazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa; Yaani 90% ya matibabu yote anayetegemewa ni Intern
KOSA KUBWA KULIKO YOTE NILILO LIONA NI KUWA, hapakuwa na consistence ya hao ma Intern yaani kila siku mbili anabadilishwa; yaani Kila siku mbili una intern tofauti, fikiria wagonjwa waliopo Hospitali ya Rufaa ni wale waliopo Serious hivyo wanataka mtu wa kufuatilia alichofanya jana kinaendeleaje; pale eti kila siku mbili wana rotate? UTARATIBU WA HOVYO KABISA!
Ukweli niliumia sana kwani ningetaraji hata kama ni Intern akae hata wiki (ajenge uhusiano na mgonjwa) ndio ahamishwe ward nyingine ILI pia ajifunze. Yaani wale Intern wana try and error nyingi sana kama wanatibu Ngombe ila siwalaumu kwa kuwa, wana achiwa kila kitu/hawasaidiwi
Huyo basi anayeitwa Msimamizi alikuwa anapita saa nne asubuhi kwa kama dakika 5; na jioni tena kwa kama Dakika 5.
Mimi sio dactari ILA kwa mtu yeyote aliye elimika, anaweza kuona kabisa kuwa kinachofanyika sio sawa!
Na hao ma intern wanatoka hapo hawajajifunza chochote!
Mwaka juzi nilikuwa na mgonjwa amelazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa; Yaani 90% ya matibabu yote anayetegemewa ni Intern
KOSA KUBWA KULIKO YOTE NILILO LIONA NI KUWA, hapakuwa na consistence ya hao ma Intern yaani kila siku mbili anabadilishwa; yaani Kila siku mbili una intern tofauti, fikiria wagonjwa waliopo Hospitali ya Rufaa ni wale waliopo Serious hivyo wanataka mtu wa kufuatilia alichofanya jana kinaendeleaje; pale eti kila siku mbili wana rotate? UTARATIBU WA HOVYO KABISA!
Ukweli niliumia sana kwani ningetaraji hata kama ni Intern akae hata wiki (ajenge uhusiano na mgonjwa) ndio ahamishwe ward nyingine ILI pia ajifunze. Yaani wale Intern wana try and error nyingi sana kama wanatibu Ngombe ila siwalaumu kwa kuwa, wana achiwa kila kitu/hawasaidiwi
Huyo basi anayeitwa Msimamizi alikuwa anapita saa nne asubuhi kwa kama dakika 5; na jioni tena kwa kama Dakika 5.
Mimi sio dactari ILA kwa mtu yeyote aliye elimika, anaweza kuona kabisa kuwa kinachofanyika sio sawa!
Na hao ma intern wanatoka hapo hawajajifunza chochote!