Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,716
- 118,702
Sijaenda bado ila nakujua hakuna kinachokosekana kule ndio mana nikamwambia aende.Baadae ntakutafuta uniambie ulichojifunza Google best


Sijaenda bado ila nakujua hakuna kinachokosekana kule ndio mana nikamwambia aende.Baadae ntakutafuta uniambie ulichojifunza Google best
Hapana aisee.Eti shem mtu anaweza shindana na asili yake kweli
Jitahidi basi uende alafu uje unipe somoSijaenda bado ila nakujua hakuna kinachokosekana kule ndio mana nikamwambia aende.![]()
![]()
Ndo maana unaweza kutana na mtu kafubaa kisa kushindana na asili yakeHapana aisee.
Uuwii. Nilivyo mvivu..nenda tuJitahidi basi uende alafu uje unipe somo
Wajiridhishe wenyewe.Wanapenda kuanzia mara tano na kuendelea.Vinginevyo hamna kitu.Uzoefu unaonyesha hivyo
Acha basi huo uvivu nenda alafu utanambiaUuwii. Nilivyo mvivu..nenda tu![]()
![]()
Daah. Hivi unajua ujumbe wa kuupata moja kwa moja ni tofauti na wa kuambiwa mana kuna mawili kupunguzwa au kuongezwa maneno.Acha basi huo uvivu nenda alafu utanambia
Haa we jitahidi bhana unisaidie kwa ilo coz mi mvivu wa kusoma ila kusikiliza sichokiDaah. Hivi unajua ujumbe wa kuupata moja kwa moja ni tofauti na wa kuambiwa mana kuna mawili kupunguzwa au kuongezwa maneno.
Jitahidi bana uka google.
Kwel kitchetcheNaomba kujua mnatosheka na shot ngapi labda ndo muone afadhali mmepata wa kuwafikisha.
Naomba maujuzi pliz coz nna mzigo/goma jipya natarajia ku-import wkend hii kwahiyo sitaki kulianguasha maana limenipania balaa.
Kweli Tanzania ya viwanda tutasubili sana
Haa we jitahidi bhana unisaidie kwa ilo coz mi mvivu wa kusoma ila kusikiliza sichoki
cocktail....full of different color & flavor.Am curious, mixed how!?
Sema tu, usione soo! !!!!Kazi kweli kweli
Nilipo soma heading, nikataka kukushauri ufuge kucha ndefu ili uweze kumkuna mujarab...Naomba kujua mnatosheka na shot ngapi labda ndo muone afadhali mmepata wa kuwafikisha.
Naomba maujuzi pliz coz nna mzigo/goma jipya natarajia ku-import wkend hii kwahiyo sitaki kulianguasha maana limenipania balaa.