Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,225
- 53,543
Huwa nashangaa sanaKuna watu wanaongea maigizo humu na kujikuta wote kwao matajiri
Huwa nashangaa sanaKuna watu wanaongea maigizo humu na kujikuta wote kwao matajiri
Wale wale aje😃😃😃Ndo maana we ni wale wale
Kikubwa ajue mapenzi. Kupika unamlipia akasome kozi mwezi 1 ya mapishi.
Kwahyo unajua chapat tu![]()
Ongera sanaNikijua chapati means najua vingi maana kupika chapati ikaliwa siku mbili bila radha kubadilika ni ujuzi piaa now najua kupika kila kitu
Hafai kuwa mke huyoSalam,
Mwanamke amekamilika kila idara, Kitandani yupo safi tu ila hajui kupika. Je, wanaume unaweza ukaoa mwanamke wa aina hiyo?
Kurahisisha mambo ya msingi huko mkuuKikubwa heshima, chakula tutakula kfc
Suala kubwa la kujiuliza kwa Nini mwanaume anaoa, je mwanamke kujua kupika ni kwa ajili ya mume peke yake au familia yote? Je Nini faida za mama mwenye nyumba kujua kupika?Salam,
Mwanamke amekamilika kila idara, Kitandani yupo safi tu ila hajui kupika. Je, wanaume unaweza ukaoa mwanamke wa aina hiyo?
Kazi ya mke sio kupika.Salam,
Mwanamke amekamilika kila idara, Kitandani yupo safi tu ila hajui kupika. Je, wanaume unaweza ukaoa mwanamke wa aina hiyo?
Kusema ukweli nimejua kupika baada ya kumaliza skuli yaani chuo
Tena Alienisaidia ni bebi wangu maaana nilimwambia sijui kupika so akawa ana nielekeze kila siku napika kitu kipya kupitia msaada wa YouTube nashukuru Mungu mpk navoongea hapa naweza kupika chapati laini kiasi kwamba ikaliwa kesho bila kuwa kaukau
So kama anafundishika jaribu kumpa hizo tips za upishii kama unampenda utamsaidiaa
Siwezi.Salam,
Mwanamke amekamilika kila idara, Kitandani yupo safi tu ila hajui kupika. Je, wanaume unaweza ukaoa mwanamke wa aina hiyo?
Labda kwako, Kwa Wakristo kazi ya mwanamke ni kumtii mumewe basi, mambo ya kuzaa yanahusisha wote wawili.Kazi ya mke sio kupika.
-- kumstarehesha mwanaume,
-- kuzaa.
Hayo mengine Ni mambo ya kidunia tu.
Kwamba hata mwanaume anazaa sio?Labda kwako, Kwa Wakristo kazi ya mwanamke ni kumtii mumewe basi, mambo ya kuzaa yanahusisha wote wawili.