well said sirWakuu nauliza umeshawahi kutoswa wewe Mwanaume au Mwanamke?
Sio kukataliwa ile ya kistaarabu kwamba umechelewa au sitaki mahusiano.
Kukataliwa kwa matusi, maneno machafu mpaka ukifika kwako unavua nguo zote unajiangalia kwenye kioo ni wapi pana shida?
Kuna watu wana maneno machafu sana huku duniani kama hujawahi kutoswa kwa dhihaka, dharau na kunyanyaswa tafuta wa kukupa hii dawa utakua umepiga hatua kubwa ya kutatazama mahusiano kwa namna ya pekee sana.
Style yako ni ipi, ebu ifafanue zaidiMimi style yangu yangu ya kutongoza siwezi kutoswa kwa aina yoyote. Ni kama unamuongoza kuku kwenye banda lake.....anaweza kufika karibu na banda asiingie mlangoni akakimbilia jalalani kupekua sasa hapo unaweza kumfuata umuongoze tena aingie bandani au umuache alale nje aliwe ns mapakashume.
Ukitumia style hii hayakukuti hayo.
Kama hujaelewa nilichoandika hapo huwezi kuelewa.Style yako ni ipi, ebu ifafanue zaidi
HahaMimi style yangu yangu ya kutongoza siwezi kutoswa kwa aina yoyote. Ni kama unamuongoza kuku kwenye banda lake.....anaweza kufika karibu na banda asiingie mlangoni akakimbilia jalalani kupekua sasa hapo unaweza kumfuata umuongoze tena aingie bandani au umuache alale nje aliwe ns mapakashume.
Ukitumia style hii hayakukuti hayo.
back in the demsay, ila niliishia kumgededa sana tuu, hadi akawa anagombana na potential opponents wake... ujna rahaa..Wakuu nauliza umeshawahi kutoswa wewe Mwanaume au Mwanamke?
Sio kukataliwa ile ya kistaarabu kwamba umechelewa au sitaki mahusiano.
Kukataliwa kwa matusi, maneno machafu mpaka ukifika kwako unavua nguo zote unajiangalia kwenye kioo ni wapi pana shida?
Kuna watu wana maneno machafu sana huku duniani kama hujawahi kutoswa kwa dhihaka, dharau na kunyanyaswa tafuta wa kukupa hii dawa utakua umepiga hatua kubwa ya kutatazama mahusiano kwa namna ya pekee sana.
Njoo pm anny,nmeipenda comment yakoSio vizuri kumjibu mtu vibaya kama haumtaki unatafuta njia sahihi tu.
Kwa comment hii, bila shaka una roho nzuri sana.Sio vizuri kumjibu mtu vibaya kama haumtaki unatafuta njia sahihi tu.
Raimundo..sisi wanaume tunaMkuu Benny umeelezea juu juu ila hujatupa experience yako.
Kuna style moja niliibuka nayo kipindi cha nyuma ya kujiambia "Tafuta pesa, tafuta pesa, tafuta pesa" pale napokuwa nimetoswa, nimenyimwa namba ya simu.
Huo msemo ulinisaidia sana na ulinijenga.