cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,860
- 75,977
Kipande cha kuona huyo mama anasukumwa na kutendwa hivyo na huyo mkaka mfufu ambaye hana afabu kwa wanawake, ndio kimenisitisha zaidi sana tena sana.
Una hakika? Alifuata utaratibu kumuona Rais? Unajua mandate ya hao walinzi kama Rais akipata matatizo?Huyu Mama akafungue shauri mahakamani, kuwa alidhalilishwa na kuvuliwa hijabu na huyu askari.
Hii video clip inaweza kutumika kama ushahidi.
Mama anaonekana ni mzoefu wa masuala ya kesi.
Angetumika mlinzi mwanamama kutuliza ile ghasia, Haikuwa sawa kwa yule askari kumtomasa tomasa vile yule mama mjane!Una hakika? Alifuata utaratibu kumuona Rais? Unajua mandate ya hao walinzi kama Rais akipata matatizo?
Kwahyo wewe unalinganisha ulinzi wa trump na wa huku kwetu huoni kuwa unalinganisha mbingu na ardhiSo angekuwepo mlinz mwanamke... huyu mama atokee upande wa mlinz wa kiume... wakiume akae kimya asubiri wakike aje????![]()
![]()
![]()
nyie watu bana
Ngoja niangalie walinz wa Trump kama mwanamke yupo
Usiyoyajua usichangie, Hata angekua na silaha asingeonyesha azarani ndio maana unaona vileHayo ni maajabu ya Tz, kwani yule mama alikuwa ana siraha mpaka afanyiwe udhalilishaji? lakini kwa ujinga wa yule mlinzi, akaumbuliwa na Rais ili asikilizwe mama aende mahakamani kwa udhalilishaji aliofayiwa,
Mbona huyo mama alikuwa mbali tu tena sana tu kwenye hyo video,HURUHUSIWI KUMSOGELEA RAIS KWA NAMNA YEYOTE ILE LABDA AKUITE YEYE.. weka kichwan kwako hiyo
Hakuna ustaarabu kwa mtu wa aina yeyote ile atakae jaribu kumsogelea rais, Na hilo weka kichwan pia
Yani mtu awepo Mpaka maeneo Yale na damu alirushe kizembe hivo bila kujilkana, ujue na wenye nia ovu pia nao hujipanga vilevileNdugu yangu uwe unajiongeza kidogo, ilikuwa ni lazima aondolewe pale kwa nguvu kwaajili ya usalama. Kumbuka mtu anaweza kujifunga bomu na kulilipua kwa staili kama ya huyo mama. Tuwe makini tunavotoa comment itasaidia sana.
Wewe ndo hutumii common sense sasa kumvuta tu huyo mama ndo ingekuwa solution bila huyo baunsa kuwa na kifaa cha Ku detect Bomu si ndo lingelipuka tu sasaUmeshawahi kumuona aliyejifunga bomu kiunoni?? Pale ilikuwa ni usalama kwanza mengine baadaye. Hakuna lawama afisa usalama alikuwa kazini na alikuwa anatimiza majukumu yake. Imagine katumwa kuja kulipua bomu na pale palikuwa pana viongozi wakubwa wa kitaifa. Tujaribu kutumia common sense
Yuko kazini, hakuna sehemu yeyote dunian utafanya hvyo uachwe, tusipende sympathy za kijinga wakati mwingne... Sehemu nyingne unaweza kuwekwa ndan kabisa... unadhan rais n sawa na monitor???
Alafu aliekuambia utamtambua mtu mwenye nia mbaya kwa kumwangalia n nani? Kama amevaa bomu je utajuaje? Usalama wa rais hauhij ku bet hata kdgo... Usije dhan kuna cha kuassume, haipo popote pale dunian... hao walinzi wanalipwa kwa ajili hiyo
Mhhh...amemtomasa? Hii Kali. Pengine hujaelewa mzigo wanaoubeba hao walinzi. One mistake....One goal. Naelewa umuhimu wa kueleza dukuduku lake kwa Rais...Ila haimaanishi walinzi wazubae tu watu wafanye wanavyojisikia....wanaishia kufungwa kama Rais ataumizwaAngetumika mlinzi mwanamama kutuliza ile ghasia, Haikuwa sawa kwa yule askari kumtomasa tomasa vile yule mama mjane!
Rais n Rais... Hakuna rais mwenye hadhi ya juu na rais mwenye hadhi ya Chini, hakuna... ikatokea Magufuli akaenda USA, heshima anayopewa rais yeyote anaenda pale na yeye atapewa hiyo hiyoKwahyo wewe unalinganisha ulinzi wa trump na wa huku kwetu huoni kuwa unalinganisha mbingu na ardhi
Naona mlinzi aliamua mfuata huko alikoMbona huyo mama alikuwa mbali tu tena sana tu kwenye hyo video,
Ndio Rais ni Raisi tu ila kile kitendo cha kusukumana kimenishangaza tena mtu mwenye mafunzo kazidi wa na yule mama, kwanini hakutumika police mwanamama?Rais n Rais... Hakuna rais mwenye hadhi ya juu na rais mwenye hadhi ya Chini, hakuna... ikatokea Magufuli akaenda USA, heshima anayopewa rais yeyote anaenda pale na yeye atapewa hiyo hiyo
Mataifa ndio yanatofautiana nguvu, uchumu, technology na mambo mengine... Ila Urais n kitu kingine kabisa
Huyo mlinzi kwanza katia aibu nimeona vzuri ITV hana nguvu kabisa kwanza ana mshika kifuani mjane ili iweje?Naona mlinzi aliamua mfuata huko aliko
Watanzania mna mambo.
Hiyo mshikemshike, hakukuwa na walinzi wa kike? Halafu walinzi wa outer ring walikuwa wapi mpaka hao wa inner ring wanamwondoa huyo mama wakati hilo ni jukumu la polisi/ FFU i.e. walinzi wa outer ring of the security of the president?