Hivi pesa alizochangisha Mbowe zilienda wapi?

Fedha zulitumika kwenye kampeni chama kimepata mafanikio makubwa ambayo hatujawahi kupata ,tumepata wabunge 35.

Pamoja na mgombea wetu kuwa na kashfa ya ufisadi tulipata kura milioni 4 haya ni mafanikio makubwa sana.

Halafu hizo ela ulizochangia ni kidogo sana kina Rostam,Karamagi na mafisadi wengine waliomchangia mgombea wetu wa urais mabilioni wao wasemeje kama wewe unalalamikia kamchango kako kasichozidi elfu 2.
 
Mbona hukuuliza kampeni nzima ilitumia pesa ngapi unauliza pesa uliyochanga wewe wakati inawezakana hata hukushiriki hata kidogo tujifunza kuongelea mambo ya msingi
Tunataka Mbowe atusomee report ya mapato na matumizi wakati Wa kampeni.

Haiwezekani watu wazalendo kwa chama wanajitolea kuchangia chama alafu hatusomewi matumizi.!!!

Inaonyesha hela nyingi zilichangwa lkn cha ajabu mawakala Wa chadema hawajalipwa hela zao hadi Leo!!!

Hatuwezi kuhubiri mabadiliko huku matendo yetu ni mabovu afadhali ya ccm.!!!


Mbowe tunaomba report ya matumizi ya hela zetu.
 
Nabaki kujiuliza sisi watz tuliokuwa wajinga kipindi cha uchaguzi 2015,akili zetu zilishikwa ama vipi,maana naona watanzania wenzangu wengi tulikuwa kama fata upepo tu hawa kwa huu umoja wa ukawa,mbowe kaandaa harambee tumetoa hela kibao,hatujui hata jumla ilikuwa ngapi na zilitumika vipi?Hakuna mtz yoyote anayehoji juu ya hili!Huo ni utapeli mkubwaaa
Kwani we ulitoa shilingi ngapi?na yangu lini Lumumba fc ikachangia ikawa?
 
Daahh,kweli mjini mipango ina maana zimelowa tu hivi hivii bureee
 
Nabaki kujiuliza sisi watz tuliokuwa wajinga kipindi cha uchaguzi 2015,akili zetu zilishikwa ama vipi,maana naona watanzania wenzangu wengi tulikuwa kama fata upepo tu hawa kwa huu umoja wa ukawa,mbowe kaandaa harambee tumetoa hela kibao,hatujui hata jumla ilikuwa ngapi na zilitumika vipi?Hakuna mtz yoyote anayehoji juu ya hili!Huo ni utapeli mkubwaaa

Watu tunajadili saga la upungufu wa sukari wewe unaleta ishu za Mbowe hapa, kwani utamla Mbowe wewe?

LB46 mna matatizo sana. Mnaleta vi mada vya ajabu ajabu mnaishia kupokezana kujibizana nyie kwa nyie!

Just look, kabla mie sijaingilia, ulikuwa na posts 35 na kwa maana hiyo bado 11 kutimiza idadi yenu ya 46 na baada ya hapo mada yako inakufa kifo cha kawaida!!
 
Hii thread imewashika watu pabaya kweli. Imenikumbusha miaka ya nyuma pale pamba house, kulikuwa na fundi viatu mmoja ana midadi sana, akijambishwa anabaki kaduwaa, yaani anashindwa kufanya lolote mpaka mjambishaji aache kujambisha. Sasa kulikuwa na mhindi mmoja alikuwa anaishi mitaa ya jamhuri, alikuwa ana vespa, asubuhi akiamka anakwenda pale pamba house halafu anaanza kupiga honi ya vespa kwa nguvu zote. Yule fundi viatu anabakia ameshikilia uzi wa kushonea viatu kwa nguvu sana.
Wapita njia hawana mbavu wakimtazama fundi viatu anavyoteseka, halafu yule mhindi akiendelea kupiga honi.
Mleta thread amewajambisha watu, wale wenye midadi wanaruka ruka wakitamani aache kuwajambisha.
 
kama ulichangia ni haki yako kujua. ni sawa na wanaohoji watumishi hewa walifugwa na nani?
 
Tunasubiri mikutano ianze upya kuna harambee kubwa sana tunataka kuchangisha kwa ajili ya maandamano ya kuoinga ubabe wa serikali ya magufuli ,ngoja serikali iruhusu mikutano tu
 
Hii thread imewashika watu pabaya kweli. Imenikumbusha miaka ya nyuma pale pamba house, kulikuwa na fundi viatu mmoja ana midadi sana, akijambishwa anabaki kaduwaa, yaani anashindwa kufanya lolote mpaka mjambishaji aache kujambisha. Sasa kulikuwa na mhindi mmoja alikuwa anaishi mitaa ya jamhuri, alikuwa ana vespa, asubuhi akiamka anakwenda pale pamba house halafu anaanza kupiga honi ya vespa kwa nguvu zote. Yule fundi viatu anabakia ameshikilia uzi wa kushonea viatu kwa nguvu sana.
Wapita njia hawana mbavu wakimtazama fundi viatu anavyoteseka, halafu yule mhindi akiendelea kupiga honi.
Mleta thread amewajambisha watu, wale wenye midadi wanaruka ruka wakitamani aache kuwajambisha.
Mkuu labda umeshikwa na kujambishwa wewe, huu upuuzi wenu pelekeni Lumumba
 
Nabaki kujiuliza sisi watz tuliokuwa wajinga kipindi cha uchaguzi 2015,akili zetu zilishikwa ama vipi,maana naona watanzania wenzangu wengi tulikuwa kama fata upepo tu hawa kwa huu umoja wa ukawa,mbowe kaandaa harambee tumetoa hela kibao,hatujui hata jumla ilikuwa ngapi na zilitumika vipi?Hakuna mtz yoyote anayehoji juu ya hili!Huo ni utapeli mkubwaaa
Mbowe mtoto wa Mjini.
Ngoja muibiwe ndo mkome.
Kama hamumjui Mbowe basi mtaumizwa sana
 
Zilitumika kuimarisha upatikanaji wa rais wa sasa...! Bila michango hiyo...sasa hivi tungekuwa na rais mwingine na tunapepesuka...!
 
Kwann siku hata Siku mnazidi kuwa wajinga badala ya kuerevuka? Mnaruka ruka tu km vyura mmekosa pa kushika, hivi hamjamsikia mama yenu Suluhu alivyokuambien?
Mleta uzi kaulizia fedha ambazo Mbowe alizichangisha kwa mbwembwe, kwa sasa zipo wapi?. Hilo suala la Mama Suluhu ni mada nyingine ambayo unao uwezo wa kuianzishia uzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom