dean of student
Senior Member
- Jun 29, 2015
- 116
- 47
- Thread starter
- #21
Natamani sana kuwatumikia wananchi
Hata kuwahudumia watu mtaani kwko ni zaidi ya uongz! Ukfnya hivyo mengneyo yatafuatia ICJ ikaw ya mm lmtz_!Natamani sana kuwatumikia wananchi
Natamani sana kuwatumikia wananchi
Jamani ina maana kila mkuu wa wilaya alikuwa kiongozi hapo nyuma au mwanachama wa uvccm?
Rekebisha uandishi wako, u dc faster.Kutokana na kasi na mwenendo mzuri wa serikali yetu hivi sasa chini ya Rais magufuli.
Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.
Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.
Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?
Hutaki kwenda kusoma masters tena?Mi naamini kwa serikali zilizopita walikuwa wanaangalia vigezo vya uchama na usaidizi katika kampeni ila nina imani na serikali ya magufuli.
Naona mkuu uko vizuri kwenye kumbukumbu.Hutaki kwenda kusoma masters tena?
Jamaa alikuja humu kuomba ushauri wa masters ipi asome, naona leo anatafuta U DC.Naona mkuu uko vizuri kwenye kumbukumbu.
Nakumbuka huo uzi. Mtoa uzi ni msaka tonge huyo anatukausha maji tuJamaa alikuja humu kuomba ushauri wa masters ipi asome, naona leo anatafuta U DC.
Tutakufukiria uafisa elimu wa wilaya.N wazi kuwa viongozi wanazaliwa na kuendelezwa vipaji vyao.Ingawa Ukuu wa wilaya ni cheo cha kuteuliwa,namwomba mteuzi na wanaomsaidia waone haja kunipa nafasi hiyo ili waione kazi yangu.Kila nilipoteuliwa,kazi niliifanya kwa bidii kubwa na kwa mafanikio.
Darasa la kwanza monitor,darasa la tano hadi la saba kiranja mkuu,sekondari makam mwenyekiti debate club,waziri wa uchumi,makam mwenyekiti Assa,chuo katibu na Rais wa muda kwa miezi minne hatimaye waziri wa habari na utangazaji,baada ya kuanza kazi mwl mkuu msaidizi ,nilipohama shule kule nilipokwenda baada ya mwezi nikawa mwl wa Taaluma,mwenyekiti wa walimu wote wa Taaluma,mwl mkuu kwa miaka mitano hadi nikapewa cheti cha The most improved school in Tanzania kupitia Matokeo makubwa sasa BRN na sasa masomoni nilipo nikichukua Diploma ya Ualimu wa sekondari ni mkurugenzi wa mawasiliano na katibu wa mfuko wa maafa na starehe na kidogo niuchukue urais wa chuo ila siye wa Diploma tulizuiliwa kugombea kwa kigenzo cha muda wa kukaa chuoni baada ya kuona nitawadefeat wa naochukua degree.
Wengine wanaweza kuniona wa ajabu lkn nimeona ninawiwa kuisaidia nchi.
0752473710
Ukitaka ukuu wa wilaya fanya mambo yafuatayoKutokana na kasi na mwenendo mzuri wa serikali yetu hivi sasa chini ya Rais magufuli.
Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.
Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.
Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?
me nishawahi kuwa mwenyekiti wa TYCS naweza pata ukuu wa wilaya?Dhana ya uwongozi inaanzia shule, makundi kama UVCCM, WAWATA, YCCS na BAKWATA ukiweza kujenga hoja kule na kuteuliwa kuwa mwakilishi wa wilaya na mkoa. Vinginevyo ingia jeshini unaweza kuwa kanali mstaafu ukapewa wilaya au mkoa.
Kutokana na kasi na mwenendo mzuri wa serikali yetu hivi sasa chini ya Rais magufuli.
Na mimi nikiwa kama mtanzania mpenda maendeleo natamani sana kuteuliwa kuwa mkurugenzi au mkuu wa wilaya kwani najijua kabisa siwezi kuwa jipu na ninao uwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa bidii na kwa juhudi kubwa.
Na kwa kuthibitisha maneno yangu nipo tiali kufanya kazi hata kwa malipo ya nusu mshahara na nikienda kinyume na masharti ya kazi nipo tiali kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Kikubwa zaidi kilichopo moyoni ni kushirikiana na viongozi wenzangu katika kuwa letea wananchi maendeleo.
Swali langu ni kuwa je nifanyeje ili niweze kuteuliwa katika katika nafasi hizo?