Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,922
- 5,624
Kuna mkuu mmoja nae alikuwa na staili hiyo ya uandishi, nadhani alizingatia ushauri wa wadau na sasa amejirekebisha. Mimi binafsi mtu akiandika kwa herufi kubwa aya nzima, napata kichefuchefu na kuacha kushindwa kusoma. Hata hawa wanaotumia 'Title Case' ni tatizo.Unaweza kuwa na mada nzuri lakini inaharibiwa na style yako ya kila neno kuanza na herufi kubwa... Kiukweli nimeingiwa uvivu hata kuisoma...