Hivi Mwanamke anachokaje Kufanya Mapenzi?

pole sana. wanawake kwa kufake ni noma. we jipe moyo kwamba uliweza, kumbe ulikuwa unamchafua tu..(sio maneno yangu)
A woman can't fake pressure mbele ya macho yangu, nitajua tu.

Pia sidhani kama angeweza hata ku fake orgasm..... kwa kuwa anaonekana si mzoefu sana.
 
KWELI KAKUTANA NA KACHANGU, HAKATAKI KUCHOSHWA ILI KAENDELEE KUHUDUMIA WAZINZI WENGINE ... ISITOSHE SAA 4ASBH KWELI MKO KWENYE UZINZI KAZI UNAFANYA MDA GANI??

KWELI VIJANA WA KIBONGO MNAWAZA NGONO SANA BADALA YA KAZI ..
 
KWELI KAKUTANA NA KACHANGU, HAKATAKI KUCHOSHWA ILI KAENDELEE KUHUDUMIA WAZINZI WENGINE ... ISITOSHE SAA 4ASBH KWELI MKO KWENYE UZINZI KAZI UNAFANYA MDA GANI??

KWELI VIJANA WA KIBONGO MNAWAZA NGONO SANA BADALA YA KAZI ..
Hata nawaza kwanini kama hakutaka kuhudumia wazinzi aje kwangu...?

Kwanini aulizie penzi kama hataki kuchoshwa?

nimejiuliza pia..
 
duuh! hakuwa na feeling za kutosha na ww maana imekuwa to quick ungempa mda wa kukuweka moyoni angeenjoy zaidi.
 
Hivi sasa nipo nje ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya shughuli mbili tatu. Nipo katika Mkoa fulani ambao nisingependa Kuutaja
Hivi hata mkifika Second Year huwa mnaenda Field; au First Year peke yake?! Sie enzi zetu ilikuwa tunaenda tukifika second na third year... yaani cku hizi mambo yamebadilika kweli kweli!!!
 
Kuchoka kupo kaka na haijalishi ni muda gani kachoka ila kwa maelezo hayo huyo bidada kakuzidi ujanja kidogo,yeye alikua anataka we umalize biashara mapema kabla ya yeye kumaliza kwa hyo alikua anatumia mbinu ya kuchoka ili mbadilishe style na arelief,so hukugundua hilo labda kwa uzoefu wako mdogo kwenye game,sasa siku nyingine piga style moja na ushikilie hapohapo mwanzo mwisho halafu uje utuambie nini kimetokea
Mwanamke anajionaje mjanja pale anapo mfanya partner wake awahi kufika mshindo kabla ya yeys kufikishwa...?

Kuna mabinti wengi humu huwa hawafikishwi kileleni, nilidhani ni kosa la wanaume kumbe huwa wanajitakia!

sikujua hilo, asante kwa kunijulisha.
 
Wewe ni muongo..! Period... Bao lako mwenyewe moja tena la sekunde 59 halafu unatuongopea watu hapa VP bado uko na Vero kwani
Ni ajabu sana kukadiria muda wa bao la mwanaume mwenzako unless you are not a female....

nina mashaka na jinsia yako... hata kama ni mwanaume basi, huenda ukawa wale wanaune wa upande wa pili.
 
Anajuwa akifata nyuki asali atakula. Maana hata kama havutiwi at least angepritend kitu ambacho wadada wengi wa mjini wanajua kukifanya.
Kitu kimoja ambacho huenda ukijui kuhusu mimi ni Kwamba si muongaji...

Kama angelikuwa ni mfuata asali, basi angelikuwa amesha changanya mbariga siku nyingi sana.

sio mhongaji, but I'm still grindin'.
 
duuh! hakuwa na feeling za kutosha na ww maana imekuwa to quick ungempa mda wa kukuweka moyoni angeenjoy zaidi.
Kama ungekuwa mzoefu wa kituk kinachoitwa "One night Stand" usingewaza katika minajili hiyo.
 
Hivi hata mkifika Second Year huwa mnaenda Field; au First Year peke yake?! Sie enzi zetu ilikuwa tunaenda tukifika second na third year... yaani cku hizi mambo yamebadilika kweli kweli!!!
Umenikumbusha Mkuu!

Unauliza maswala ya Field nyakati za chuo?
Kama sijasahau ilikuwa ni second year... unajua ni mda mrefu sana tangu niende field...

Ulikuwa ni 2009.... kama sijakosea!
 
Sijaoa lakini kwa uzoefu mwanamke anaweza kujisikia mwili umechoka na hata wewe ukiangalia tu usoni mwake unaweza kugundua amechoka mwili so ni vigumu kufurahia tendo mwanamke wa aina hii utamjua tu atakuambia kwa upole ili usijisikie vibaya ukiona anakwambia kwa hasira basi jua umeliwa na wajanja wengine na hajisikii tena na wewe
 
Utakuwa hujamuandaa vizuri...kwahiyo anapata shida kui- handle friction, anachoka na kuumia juu . Pengine huwa unapiga puli so una suguaa weeeeeee mpk dah! Mawazo yanahama...anachoka
 
Kama ungekuwa mzoefu wa kituk kinachoitwa "One night Stand" usingewaza katika minajili hiyo.
Uzoefu ninao ila bahati mbaya nimestaafu, one night stand hawarizishwagi na mgegedo wanarizikaga na mkwanja tu if that is the case, otherwise atakuwa anaweka mazingira ya kuendelea kukuibia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom