Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,494
- 13,975
Alifanyiwa za kidiplomasia na kiufundi na J. Makamba. Ilikuwa targeted na ya ya kiutu uzima.
Ndungulile hakuwa kiaziHizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana.
Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea?
Maana naona mpaka Rais Mstaafu Jakaya Kikwete naye yumo!
Duh 🙄 !Leo ndio nimeamini hili chaguo la professor janabi ni la mzee wa msoga kwasababu kwa maana ni mshikaji wake sana ndio maana amemkata yule jamaa wa Benjamin William mkapa hospital.
Jibu ni ndio ,hata hivyo Janabi ni mshikaji wa JK so Jamaa yake lazima amsaidie.Hizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana.
Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea?
Maana naona mpaka Rais Mstaafu Jakaya Kikwete naye yumo!
Muulize MunguNa Je kwanini Ndugulile alikufa, kilichomuua ni nini?
Wee Mzee tufanye kaz nyingine Tz waachie wenyewe ukifukua sana makaburi unaweza jikuta unabaki kwenye shimo na hii ndio tz mkurugenzi amepata ajali akikwepa muendesha baiskel saa nane usiku na lili kuwa kosa la dereva ambaye pia ni marehem.. dereva wa lori amekimbia ila hana makosa.... upooooooooHizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana.
Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea?
Maana naona mpaka Rais Mstaafu Jakaya Kikwete naye yumo!
Ndungulule ilikuwa no chaguo la WHO wenyewe that's why hakukuwa na mguvu kubwa zaidi ya kuwapeleka tulia na mbunge wa madaba kukamilisha kampeni. Janabi sio chaguo la WHO ndio mana imekuwa kisiasa zaidi.
Janabi ni muumini mwenzetuHizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana.
Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea?
Maana naona mpaka Rais Mstaafu Jakaya Kikwete naye yumo!
Kwani huyo hayati Dr.Faustine Andungulile, alikua ana pambana na watu wa aina gani wakati ule gentleman ukilinganisha na sasa hivi?🐒Hizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana.
Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea?
Maana naona mpaka Rais Mstaafu Jakaya Kikwete naye yumo!
Hizi Kampeni za kutaka Prof: Mohamed Janabi awe kiongozi wa WHO Afrika naona kama vile zimekuwa kubwa Sana.
Harakati kama hizi pia zilifanywa Kwa Faustine Ndungulile wakati anagombea?
Maana naona mpaka Rais Mstaafu Jakaya Kikwete naye yumo!
Kwani huyo hayati Dr.Faustine Andungulile, alikua ana pambana na watu wa aina gani wakati ule gentleman ukilinganisha na sasa hivi?🐒
do you think Faustine alihitaji nguvu sana kuwakabili opponents wake wakati ule licha ya kwamba Rais alimtumia Dr.Tuliana na yeye akamalizia kampeni kwenye mkutano wa AU?Una maana gani unaposema watu wa aina gani? Watu si kama wewe na mimi?
Kiti kile kizito na kina maslahi ya wengi. Ngoja tuone outcome.
Lakini interests za binadamu ndio zile zile. Hazijawahi kuwa tofauti
ana maanisha watu wana nguvu gani ya ushawishi kimataifa.Una maana gani unaposema watu wa aina gani? Watu si kama wewe na mimi?
Kiti kile kizito na kina maslahi ya wengi. Ngoja tuone outcome.
Lakini interests za binadamu ndio zile zile. Hazijawahi kuwa tofauti
do you think Faustine alihitaji nguvu sana kuwakabili opponents wake wakati ule licha ya kwamba Rais alimtumia Dr.Tuliana na yeye akamalizia kampeni kwenye mkutano wa AU?
Opponent wa Mohamed Janabi ni wa viwango vingine kabisa, ndio maana diplomasia ya kipekee na ya ziada sana inafanywa na Dr.Samia Suluhu Hassan kupitia mstaafu Jakaya kufanikisha azma ya Prof.Janabi 🐒