Hivi kwanini wasichana wanapenda kununanuna sana hata bila sababu?

Na mijanaume inayonunaga inanunaga nini

Ni mtu tu kakerwa na kitu halafu hasemi anategemea usome mawazo yake .... Not cool
 
Bwana Yesu asifiwe wapendwa?naomba kuuliza,hivi inakuaje mtu kaamka tu kutoka kitandani huku kavuta domo bila hata kuuziwa,nimemsalimia kaitikia kama hataki vile,nimemuulza kama anaumwa nimpeleke hospital kasema haumwi,nimeenda job nkaona ngoja nimpigie labda kuna mahali nimekosea,ila cha ajabu kapokea cmu afu haongei.hivi wanawake huwa wana mapepo ya kununa bila sababu wakuu?
Daaah yaanii unachokutana nacho wewe mimi ndio nakiishi,na Sitaki hata kujua kwanini ananuna akinuna mimi nauchuna mwenyewe atajichekesha baada ya muda fulani!
 
Usiseme wasichana Sema msichana wakoo... Mie sijawahi kununa bila sababu
Labda kakumbuka x wake teh
Hiyo ni tabia ya kike kama haujawahi kununa kafanye hormone check unaweza UKAWA na hormone za kiume!sorry kama nimekukera
 
Bwana Yesu asifiwe wapendwa?naomba kuuliza,hivi inakuaje mtu kaamka tu kutoka kitandani huku kavuta domo bila hata kuuziwa,nimemsalimia kaitikia kama hataki vile,nimemuulza kama anaumwa nimpeleke hospital kasema haumwi,nimeenda job nkaona ngoja nimpigie labda kuna mahali nimekosea,ila cha ajabu kapokea cmu afu haongei.hivi wanawake huwa wana mapepo ya kununa bila sababu wakuu?
ukiona demu kakununia asubuh
ujue usiku ulimpaka shombo tu hukukata kiu yake wanawake wagumu sana kuongea ila wana lugha za ishara
KIONGOZI ongeza BIDII KITANDANI
 
Hahaha...ushakula Demu huku kanuna....?

hahaha inachekesha sana kulia si kulia sitaki nataka wadada mnavituko sana jaman
 
Bwana Yesu asifiwe wapendwa?naomba kuuliza,hivi inakuaje mtu kaamka tu kutoka kitandani huku kavuta domo bila hata kuuziwa,nimemsalimia kaitikia kama hataki vile,nimemuulza kama anaumwa nimpeleke hospital kasema haumwi,nimeenda job nkaona ngoja nimpigie labda kuna mahali nimekosea,ila cha ajabu kapokea cmu afu haongei.hivi wanawake huwa wana mapepo ya kununa bila sababu wakuu?
Hata mababu wa enzi zile hawa kuwa na majibu sembesu sisi.
 
Back
Top Bottom