Hivi Kuna umuhimu mkimaliza kudo umtoe hela mpenzi wako?

Kuna ka dem kangu kamoja hivi'kembambaa kama Eveln salt hiv'nikikagegeda bila kukapa hela kananuna hakoo,,nikimpa ila tu utasikia vp honey atuendi out leo??.yan ni shida,
Alokuambia mie mwiko wa pilau nani? Akaaa mie mtu na nyama zangu sio mwembamba
 
Na ukisikia ume pigwa simu inaitwa baby ujue kuna maumivu yana kuja....wakiwa hawana shida ya kukutoa upepo u baby baby uta usikia kwa kaka zako na shemeji zako tuu
 
Hiyo ndo nature mdau..Kama huna hela papuchi nzuri utazisikia tu. Kuhudumia ni jukumu la mwanaume..Wanawake mambo mengi mara pad,nywele bandia ma madude kibao.
 
Halaf watu kama hawa wanakuwaga magovi na bado hawataki kutoa hela... Mtt wa watu kajitahidi kuvumilia mkono wa sweta halaf umtoe patupu.... Mungu hapendi
 
hichi kitu kinaniumiza kichwa kweli. maana naona asilimia kubwa ya jamii za kiafrica sijui ulaya na Asia.. ukiwa na Dem unakuwa ww ni wa kumhudumia kila kitu mfano umemtoa out mkiagiza mhudum akija akihudumia bill ikija atakuletea mwanaume alafu dem anakauka ata kama ana ela hawezi lipa alafu hapa pananiuzi sana mkiingia kupeana malove mkimaliza lazima umtoe dem ela ata kama ni dem wako daa usipotoa anaweza enda kukuponda kwa mashoste wake wakati utam mmesikia wote afu madem si ndiyo mnaaikiaga utam zaidi? kwa nini tukimaliza kudo na nyie msitutoe maela?
Mkuu kama unaona wanafaidi na wewe anza tu kuliwa utalipiwa kila kitu mkitoka out,baada ya ku do utapewa mtonyo na maghalama kibao tu utafanyiwa afu itakuwa bilabila
 
Mkiwa lodge nani huwa anatoa order, geuka hivi,binuka vile,lala hivi? Ukishampinda sana mlipe tu mkitoka.

Binafsi nikimpaga hela inakuwa kwa ajili ya kununulia luku ili achemshe maji ya kukandia mwili.
Lol
Ambayo inakuwa kama sh ngapi mkuu?
 
Back
Top Bottom