Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 4,121
- 7,390
Ulisoma vigezo na masharti?Kweli kabisa niliachana nao baada ya kuona wana upuuzi huo. Hao nina uhakika sababu walishanipunguzia odds na hela ya ushindi baada ya mkeka kuwin.
Ulisoma vigezo na masharti?Kweli kabisa niliachana nao baada ya kuona wana upuuzi huo. Hao nina uhakika sababu walishanipunguzia odds na hela ya ushindi baada ya mkeka kuwin.
Unajua maana ya cashout na kazi yake? Cashout haijawekwa kwaajili ya kukunufaisha wewe Bali kampuni.Mimi walininyima cash out, kati ya timu tisa ilibaki timu moja ambayo ingecheza kesho yake, nikahitaji nitoe haikuruhusu
Hiyo nikweli mkishinda wengi mnagawana. Ukiona wewe umeshinda ujue jackpot ilikuwa rahisi.wajinga sana walininyima pesa ja jackpot wakasema tulishinda watu elfu 70 kila mmoja akapewa mia tano.
Sijawatumia tena nikakimbilia sportybet
Hakuna kitu Kama hicho ,, yani kampuni za betting hazina Cha kupoteza hata wewe ushinde ,, Tena ukishinda unawasaidi kwenye advertising,, kampuni ya betting haiwezi kukuibia 5000 wakati wewe unaweza kuwapelekea pesa za kutosha kwa kupoteza mwenyewe kwenye mkeka,,, ukiona umeshinda laki ujue wenzako wamepoteza mamilion yakutosha,,, Yani sportpesa anaweza kutoa zaidi ya Bilion 100 kwa udhamini wa vilabu bure aje akuibie wewe 5000 😅Huu mchezo unafanywa na makampuni mengi tu sio sportypesa pekee, cha kufanya screenshot itakusaidia kama kuna wizi kama huo.
Umejichanganya mkuu ,,hakuna mtu anaweza kubadilishiwa mkeka hizo Ni system tu na Wala hazishikwi na mtu. Pia sport book haitengenezwi hapa Tanzania Sasa wataedit je mkeka wako ?Wewe jamaa mbona unawatetea ukweli usemwe jamaa hawajanitendea haki kunibadilishia mkeka wangu baada yakuona náelekea kushinda nanilikuwa nimeshinda. Nivile sijui nilalamike wapi?
Umejichanganya mkuu umeongea kitu ambacho hakitakaa kitokeeKwamba mm cjui nacho kisema au unanichukuliaje?
Sikusoma😏Ulisoma vigezo na masharti?
Sasa betting yenyewe ni wizi wa muda iweje ushangae wakitapeliana?Hakuna kampuni wezi kama sportpesa, ukiweka mkeka wako screenshot kabisa, ikiwezekana screen record. Wale kukushushia odds baada ya mkeka kutick ni malegend
Ndio maan nikWakimbiaHiyo nikweli mkishinda wengi mnagawana. Ukiona wewe umeshinda ujue jackpot ilikuwa rahisi.
Jaribu jackpot ya timu 17 ukipata umepata sio rahisi mtu kupatis 17, Ila 6, 8, 12, 13 mnaweza kugongana wengi tu kunasiku inakuwa rahisi ndio mnashinda wengi
Umechanganyikiwa na maisha weweSasa betting yenyewe ni wizi wa muda iweje ushangae wakitapeliana?
Unaiona afu 5 ndogo sana? Unachoibiwa sio hiyo 5,000, unaibiwa dau ulilopaswa kushinda kwa kubadilisha machaguzi yako.Hakuna kitu Kama hicho ,, yani kampuni za betting hazina Cha kupoteza hata wewe ushinde ,, Tena ukishinda unawasaidi kwenye advertising,, kampuni ya betting haiwezi kukuibia 5000 wakati wewe unaweza kuwapelekea pesa za kutosha kwa kupoteza mwenyewe kwenye mkeka,,, ukiona umeshinda laki ujue wenzako wamepoteza mamilion yakutosha,,, Yani sportpesa anaweza kutoa zaidi ya Bilion 100 kwa udhamini wa vilabu bure aje akuibie wewe 5000 😅
Hakuna kigezo na sharti linaloweza kuruhusu kampuni kubadilisha chaguo la mtejaUlisoma vigezo na masharti?
pole sanaKweli kabisa niliachana nao baada ya kuona wana upuuzi huo.
Hao nina uhakika sababu walishanipunguzia odds na hela ya ushindi baada ya mkeka kuwin.
Inaitwa newtons 3rd law of motionUnaiona afu 5 ndogo sana? Unachoibiwa sio hiyo 5,000, unaibiwa dau ulilopaswa kushinda kwa kubadilisha machaguzi yako.
Mimi ni mdau mzuri wa kucheza over, huwa ni over 0.5 na 1.5 sichezagi over 2.5 hata iweje, kuna siku msimu huu huu mkeka una timu zaidi ya 20 mpaka half time zimetoa timu 16, bado nne, dkika ya 87 hivi timu moja tu ina goli moja ikapata goli la pili nikawa nangoja hela, haikuja nakuja kuchek naona ile mechi chauo ni over 2.5 kitu ambacho sikuweka kabisa.