Hivi ISIDINGO ina mahusiano gani na ITV?

series zipo dunia nzima.South Africa itokako isidingo ipo pia.kuna GENERATION na RYTHIM CITY.Ukichoka ipishe.mimi niliangalia sana isidingo nikapumzika.
 
Mimi Mara ya kwanza niliiona mwaka 2005hadi Leo......
Natafuta yule demu mkali wa mule ndani nimuoe aje kasulu nione kama haachi....
 
Mimi Mara ya kwanza niliiona mwaka 2005hadi Leo......
Natafuta yule demu mkali wa mule ndani nimuoe aje kasulu nione kama haachi....
Mimi Mara ya kwanza niliiona mwaka 2005hadi Leo......
Natafuta yule demu mkali wa mule ndani nimuoe aje kasulu nione kama haachi....
Mkuu, anaitwa nani huyo demu mkali ndani ya isidingo?
Kama nakuona unavyojimwaga na demu mkali wa isidingo huko kasulu. Watakoma wana Kasulu
 
One of the best series, kama ni mpenzi wa series lazima ukianza kuitizama uipende. Characters wamekuja na kuondoka but the series is there to stay. Kipindi Zeb na Agnes wana breach contract kila mtu alidhani series ile ingekufa, lakini jamaa wapo vizuri. Show ya Lincoln na Katlego, Skhu na mdogo wake..etc.
 
Kame wewe huipendi, wapenzi Isidingo tupo wengi. Tena natamani iendelee mpaka hata mwisho wa awamu ya tano.
 
Isindigo ni aina ya michezo ya kuigiza inayoitwa soap opera. Uwa hazina mwisho maana zinaongelea maisha ya watu ndiyo maana mtu anaanza igiza toka akiwa mdogo unamuona mpaka anakuwa mtu nzina.
Ni kati ya michezo ninayo ipenda siyo kama ole michezo ya kipuuzi ya kifilipino ya kitoto toto
Ha ha haaa ama bongo muvi jambazi anashika bastola ya plastiki

ama akipigwa ngumi anageuka anaangalia pa kuangukia full utoto
 
Back
Top Bottom