kilabuni
Member
- Nov 16, 2012
- 74
- 17
Kwamujibu wa katiba ya ccm mwenyekiti wa chama anatakiwa kuchaguliwa mwaka 2017 lkn kinachofanyika sasaivi ni kumkabidhi Chama Rais aliepo madarakani Kwakua Rais ndiyo msimamizi wa utekelezaji wa Ilani hivyo wanaona niustaarabu apewe Kabisa chama lkn uchaguzi Mkuu wa viongozi wote wa chama utakua mwakani 2017