Hitimisho na majibu ya battle ya Arusha na Mwanza

Matokeo ya sensa yenyewe yana walakini, Mji una idadi kubwa ya watu lakini hauna majengo, na mji wenye idadi ndogo ya watu una majengo mengi kuliko mji wenye idadi kubwa ya watu. Ina maaana hao watu wanaishi kwenye miti????
Kama upi huo
 
Arusha man ukiwa na noti unakula maisha kama upo US.. hali ya hewa safi. Mkuu hujataja Bar ya picnic, ambayo mfano wake hakuna.
Mwanza ni kubwa na ina watu wengi. Lakin kwa quality hamna. Arusha quality zake zipo juu kwasababu ya wazungu wengi
 
Arusha man ukiwa na noti unakula maisha kama upo US.. hali ya hewa safi. Mkuu hujataja Bar ya picnic, ambayo mfano wake hakuna.
Mwanza ni kubwa na ina watu wengi. Lakin kwa quality hamna. Arusha quality zake zipo juu kwasababu ya wazungu wengi
Hyo quality umepima Kwa kutumia kipimo Gani .maana mi na elimu yangu ndogo najua quality Huwa haipimwi kinachopimwa ni quantity... ...sa sijui umetumtumia metric zipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha man ukiwa na noti unakula maisha kama upo US.. hali ya hewa safi. Mkuu hujataja Bar ya picnic, ambayo mfano wake hakuna.
Mwanza ni kubwa na ina watu wengi. Lakin kwa quality hamna. Arusha quality zake zipo juu kwasababu ya wazungu wengi
Hali ya hewa gani safi? Huu mwaka una jua balaa
 
Arusha man ukiwa na noti unakula maisha kama upo US.. hali ya hewa safi. Mkuu hujataja Bar ya picnic, ambayo mfano wake hakuna.
Mwanza ni kubwa na ina watu wengi. Lakin kwa quality hamna. Arusha quality zake zipo juu kwasababu ya wazungu wengi
Usichekeshe et quality uongelee Arusha hivi unajielewa vile unaongea angalia fresh air kutoka ziwan ewee beach nyingi na kumbi za starehe zipo kibao stand zimechangamka hawalali raia wanapiga biashara,
 
Usichekeshe et quality uongelee Arusha hivi unajielewa vile unaongea angalia fresh air kutoka ziwan ewee beach nyingi na kumbi za starehe zipo kibao stand zimechangamka hawalali raia wanapiga biashara,
Quality ndo hiyo inawafanya wazungu badala ya kuja mwanza japo ni karibu na Serengeti, wanakuja Arusha
 
Dogo kuna quantitative research na Qualitative research
Qualitative data ,,Huwa ni imagination na observation results.......
Quality tunaangalia vifuatavyo.
Huduma za jamii
AFYA -hospital kubwa ya rufaa , sekoteoure,agha Khan, tanzanite,mwanza hospital na kamanga hospital.
ELIMU -university na institute kama SAUT,TIA,CUHAS,IRDP,DIT,IFM,CBE,na PWRI.
MAJI-mwauwasa
UMEME-90 mjini ,70 vijijini
MAWASILIANO -redio local 15 , national redio 2,Tv 2,fibre internet,all network providers.
SHOPPING CENTERS-buzuruga plaza ,rock city mall,u turn grocery store,Lumumba street.
AIRBNB -capripoint villas,isamilo ,nyasaka , bwiru apartments ,ilemela apartments.
PUBLIC INFRASTRUCTURE -Two bus terminals, international airport, international shipyard,dual carriage km 10 ,three lanes 8 km ,two pedestrian flyovers.
VEHICLE SERVICE AND SALES CENTER-127 Petro stations,Tata sales branch , Toyota sales branch ,more than 10 sales yards
BANKING and FINANCIAL SERVICE- Kuna benki Zaid ya 25 pamoja na tawi la benki kuu .. kampuni za bima zaidi 15 ,ATMS Kila mahala .
RECREATION CENTERS
City Park, kamanga beach,rock beach ,Ely's beach, igombe beach ,malaika beach resort,jembe beach,n.k
HOTEL 3*+ -kuna zaidi ya hotel 10 zenye hadhi ya kimataifa.

Hii ndio quality sasa ..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qualitative data ,,Huwa ni imagination na observation results.......
Quality tunaangalia vifuatavyo.
Huduma za jamii
AFYA -hospital kubwa ya rufaa , sekoteoure,agha Khan, tanzanite,mwanza hospital na kamanga hospital.
ELIMU -university na institute kama SAUT,TIA,CUHAS,IRDP,DIT,IFM,CBE,na PWRI.
MAJI-mwauwasa
UMEME-90 mjini ,70 vijijini
MAWASILIANO -redio local 15 , national redio 2,Tv 2,fibre internet,all network providers.
SHOPPING CENTERS-buzuruga plaza ,rock city mall,u turn grocery store,Lumumba street.
AIRBNB -capripoint villas,isamilo ,nyasaka , bwiru apartments ,ilemela apartments.
PUBLIC INFRASTRUCTURE -Two bus terminals, international airport, international shipyard,dual carriage km 10 ,three lanes 8 km ,two pedestrian flyovers.
VEHICLE SERVICE AND SALES CENTER-127 Petro stations,Tata sales branch , Toyota sales branch ,more than 10 sales yards
BANKING and FINANCIAL SERVICE- Kuna benki Zaid ya 25 pamoja na tawi la benki kuu .. kampuni za bima zaidi 15 ,ATMS Kila mahala .
RECREATION CENTERS
City Park, kamanga beach,rock beach ,Ely's beach, igombe beach ,malaika beach resort,jembe beach,n.k
HOTEL 3*+ -kuna zaidi ya hotel 10 zenye hadhi ya kimataifa.

Hii ndio quality sasa ..



Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana leo ni mwendo wa spana tu nyuzi zote
 
Qualitative data ,,Huwa ni imagination na observation results.......
Quality tunaangalia vifuatavyo.
Huduma za jamii
AFYA -hospital kubwa ya rufaa , sekoteoure,agha Khan, tanzanite,mwanza hospital na kamanga hospital.
ELIMU -university na institute kama SAUT,TIA,CUHAS,IRDP,DIT,IFM,CBE,na PWRI.
MAJI-mwauwasa
UMEME-90 mjini ,70 vijijini
MAWASILIANO -redio local 15 , national redio 2,Tv 2,fibre internet,all network providers.
SHOPPING CENTERS-buzuruga plaza ,rock city mall,u turn grocery store,Lumumba street.
AIRBNB -capripoint villas,isamilo ,nyasaka , bwiru apartments ,ilemela apartments.
PUBLIC INFRASTRUCTURE -Two bus terminals, international airport, international shipyard,dual carriage km 10 ,three lanes 8 km ,two pedestrian flyovers.
VEHICLE SERVICE AND SALES CENTER-127 Petro stations,Tata sales branch , Toyota sales branch ,more than 10 sales yards
BANKING and FINANCIAL SERVICE- Kuna benki Zaid ya 25 pamoja na tawi la benki kuu .. kampuni za bima zaidi 15 ,ATMS Kila mahala .
RECREATION CENTERS
City Park, kamanga beach,rock beach ,Ely's beach, igombe beach ,malaika beach resort,jembe beach,n.k
HOTEL 3*+ -kuna zaidi ya hotel 10 zenye hadhi ya kimataifa.

Hii ndio quality sasa ..



Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh kaka umefafanua kisomi hasa adi mm nawaza umewezaje kufanya Vizuri namna hii hakika unajibu kisomi ila wavuta bangi wa Arusha ni ngumu kuelewa maana ndo walivo kwanza kushindanisha Jiji la MWANZA na ARUSHA ni kushusha hadhi ya Jiji la MWANZA maana Kila kitu Kiko wazi
 
Mm huja kununua madin huko machimboni na kuja uza arusha ,nimefanikiwa kutokana na mwanza kutosomesha watoto ukubwani wamekuwa watumwa wangu nawalalia being mbaya na rafudhi yao ya kutoju kiswahili
We unayejua kiswahili radhufi ❌ ndiyo mdudu gani kenge wewe!!(Lafudhi ✔️)
 
Back
Top Bottom