Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,803
Tutafanyaje sasa itabidi nibebe hizi za ndimuMabikra bado wapo?
Tutafanyaje sasa itabidi nibebe hizi za ndimuMabikra bado wapo?
Kabla yayote muulize hati kaandika jina gani? Kama kaadika jina lake tu umeliwa kaka.kaa ukijua hiyo nyumba ni yake na si yenu ,
Jipange
Kabla yayote muulize hati kaandika jina gani? Kama kaadika jina lake tu umeliwa kaka.
Naungana nawewe...kaka msalimie wifi.. kaka me ni dada yako usimfokee mwache aendelee na ujenzi mkimaliza mwambie muipangishe hiyo nyumba halafu mjenge nyingine tena .. nina maanisha najua wanawake kaka yangu sitaki kukuona umepata shida na ukafa kabla ya wakati sitaki kusemea kuwa kajengewa hapana ila utashindwa kuwa na control kaka yangu nakupenda bado kaka. haya pole na hongera
Rai mchokonoz weweNdo maana kila siku nilikuwa najiuliza bro uko wapi?
Kumbe umefichwa Bunju!
Ila kwa ujumla wanaume wabinafsi sana! unakuta kaandika mali zote kwa jina lake, ndiyo maana wanawake nao wameshastuka.Kabla yayote muulize hati kaandika jina gani? Kama kaadika jina lake tu umeliwa kaka.
Mkuu mi sina tatizo na umiliki wa hiyo nyumba..Wala hilo halinisumbui..Swala ni kwamba mwanamke unayelala na kuamka nae deile hajakushirikisha kama kuna kitu kama hiki anafanyaKabla yayote muulize hati kaandika jina gani? Kama kaadika jina lake tu umeliwa kaka.
Surprise ijayo omba tu isiwe yamtotoSista wifi yako amenipa mawazo aisee..Hapa sielewi kuna sapraizi gani nyingine inakuja
Huo ndiyo ukweli wenyewe.Hiyo nyumba ni yake sio yenu, hakukushirikisha tangu mwanzo kwa sababu hakutaka mshare katika hiyo nyumba
Rai mchokonoz wewe![]()
tena nitaifanya mwenyewe atajutaSawa sista..Yakinizidi ntakuita umfanyie pati ya jikoni
Tafsiri ipo kanisani mzee. Mwili mmojaTafsir ya nyumba yenu ni ipi hapo mkuu?
Kiwanja mlinunua pamoja then akajenge yeye bila kukwambia au ikikamilika mtakuwa na hat ya pamoja
Au tafsir ya Nyumba yenu ni ina umiliki wake ila mtakaa pamoja?
Kwani jirani zile aibu umeacha?Jirani njoo tufanye sapraizi ya kwanza
Ha ha ha h hyo tafsir usikutane na michezo y pesa pesa ndio utaijua vzurTafsiri ipo kanisani mzee. Mwili mmoja