mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Local contractors inabidi wajirekebishe wenyewe kwanza, gharama zao zilikuwa haziakisi uhalisia, utakuta karibia 20% ya gharama inaishia kwenye rushwa, ubora wa kazi zao una walakini pia. Kuanza kutumika kwa taasis za ki serikali kwenye ujenzi kutaongeza ubunifu na ushindani. Wakandarasi waanze kuungana na kukataa kutoa rushwa, ndio njia pekee ya kuweza kushindana na taasis za kiserikali.