Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 446
- 1,672
Sukari na presha kwa sana hapoππππ
Mahali atakapo pupu kama ni kichakani ,kuruka itakua mtihani.Ukimaliza uwahi tu chooni
Mimi naona matakataka yatayokufanya uwe na likitambi na pressure ufe uwaache Wala mihogoππππ
Naaam ukipiga hiyo hadi jion ilo full kila sectorEnglish breakfast
Ukila hiv at once lazima ulale, japo inategemeana na aina ya kazi unazofanya katika sikuSasa ukila hivi kazi utafanya?
Siyo utaingiwa na usingizi utamani urudi kulala?
Mkuu kitimoto early in the morning....daaaahππππ