Hii ndo Breakfast sio hicho kipande cha mhogo na uji wa dona

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Mar 8, 2019
446
1,672
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‹
 

Attachments

  • 1742240096524.jpg
    1742240096524.jpg
    323.9 KB · Views: 1
Moja ya nidhamu nimejijengea baada ya ku hit mid 30's ni kutokula kula hovyo.
NIna siku 2 katika week ambao
Siku 1 sigusi kitu chochote for 24 hrs
Siku 1 nakula only once (jioni) katika saa 24.
Kwa week 1 na make sure nimekula 1kg ya nyama
Mboga mboga sana
Maji mengi sana
100kms walk per week
Heavy weight lifting daily
 
Back
Top Bottom