Hii mimba kweli yangu?

hivi mnajua maana ya mwanamke kuingia period? Baada ya kusex na mimi aliingia kwenye siku zake kama kawaida! Kama mimba yangu ilikuwaje akaingia? Nendeni mkasome kwanza inakuwaje mwanamke anaingia mp ndo mjibu hapa
Kumbe majibu unayo, sasa swali uliuliza la nini?
 
Dah mtoto huyooo... Fanya kulea mkuu... Au fanya mambo kikemia, mtoto akizaliwa check DNA
 
hawa manabii feki wanawagonga sna waumini wao wasiojielewa

Ila wajinga ndo waliwao
 
Huyo binti ulimbaka, ukampa ujauzito. 30 yrs Segerea umekwepa. The least you can do ni kumtunza huyo binti na kiumbe chenu. Anayejua baba wa mtoto ni mama. Amekuambia wako ni wako mpaka tarehe au DNA vitakavyothibitisha vinginevyo.

Couldn't have said it better.
 
Hii kesi ni nzito sana kwa sababu inamhusisha nabii, itabidi wapendwa wote tujipange kwa mfungo wa siku tatu huku tukikesha kwa maombi, Evelyn Salt hebu cheki na Paulo Sergio De Souz kama ratiba inamruhusu tuanze maombi leo.

Msisahau nguo za mkesha, maana hali ya hewa ni ya mvua sana.

Haha hawa manabii wa siku hizi ni majipu karibia wote. Hapa huyo mwanamama tu, ndiye anahitaji maombi.
 
Ni mfungo wa siku tatu mfululizo, huku tukikesha kwa maombi kanisani, na inabidi wapendwa wote wawepo. Ukumbuke pia tunapambana shetani asije kuturubuni, ndiyo maana nimetoa tahadhari mama mchungaji Evelyn Salt asije na ile mikato yake maombi yakatushinda.
Usisahau popcorn, baada ya maombi tunakula
 
Ni mfungo wa siku tatu mfululizo, huku tukikesha kwa maombi kanisani, na inabidi wapendwa wote wawepo. Ukumbuke pia tunapambana shetani asije kuturubuni, ndiyo maana nimetoa tahadhari mama mchungaji Evelyn Salt asije na ile mikato yake maombi yakatushinda.
Hapo kwenye nguo bora umekuwa clear..Mana Mama mchungaji ana mitego sana
 
Hajui huyo mm mke wangu aliingia mp mwezi mzima lkn ilivyokata kwenda kupima nikamkuta ana mimba ya miezi mitano
Watu wengine bwana ni wabishi tu. Unauliza na watu wanajaribu kukuelimisha unakuwa mbishi. Kama haamini si akizaliwa aende kwa Mkemia Mkuu wa Serekali kwa DNA?
 
Nikiwa kwenye biashara zangu kuna binti mmoja alikuwa ananiletea chakula kutoka mgahawa flan anaofanya kazi kila mara
katika majadiliano ya hapa na pale na wafanyakazi wangu wakawa wanasisitiza huyu binti ni bikra
Kwa sababu sijawah kumvunja mtu hiyo kitu nikaona nimrubuni ili niivunje.
Nilijaribu kumrubuni kwa miez kama miwili ananigomea.
Lakini katika maongezi yetu akaonekana mtu wa iman sana(lokole) na inaonekana mchungaji wao kawajaza upepo balaa wanamuita nabii.
Anawadanganganya anajua kila wanachokifanga wasipokuwa karibu nae
Yaani inaonekana wako karibu sana na huyo nabii mpaka wanaelezana nani kamtongoza na kila kitu cha maisha yake!
Binafsi nikahisi nabii anakula mzigo mpaka alinambia nabii kamzuia kuwa na mimi kwa sababu tunatofautiana madhehebu basi me ni haramu.
Sijui shetani gani alimpitia nikashangaa siku moja anakubali kuja kwangu.
Alipikuja kwangu(naishi nyumba nzima mwenyewe) sikuwa na wasiwasi wa kusikika hivyo nikatumia nguvu na kula mzigo na kweli nilikuta haujatumika(sa sijui alibumba bikra au ilikuwa halisi)
Baada ya hapo alinichukia sana na akawa tukikutana ananiambia mabii amemwambia me ni shetani.
Baada ya siku kadhaa alinitafuta na kuniambia anashukuru mungu ameingia kwenye siku zake hivyo its over me na yeye.
Ghafla akawa kazin haonekani tena!
Tangu januari sijamuona coz aliacha kazi ila juzi kaniibukia kwenye biashara zangu na kudai anamimba yangu.
nilishangaa mbona alisema kaingia mp? Na mbona mimba ni kubwa hivi iweje anitafute leo siku zote hizo?
Akadai hakuwa anajua anamimba na amejua siku hiyo baada ya kupimwa na nabii wake.
Akaniambia muda huo wote aliacha kazi kwa sababu nabii alimzuia kuwa inamletea vishawishi na akawa anashinda kwa nabii akifanya kazi za kanisa.
Nilimuomba muda wa kutafakari.
kesho yake nikashangaa ananiambia aje kwangu kwa sababu nabii amemwambia aende kwa aliyempa mimba kanisani hawamtaki.
Niligoma kwakweli kumruhusu aje kwangu na tangu hapo hajanitafuta mpaka leo ila ananisisitizia mimba ni yangu hata twende kupiga utra sound itaonesha iliingia tarehe zile nilizopiga ingawa pia anakubali aliingia mp baada ya kula mzigo

Sasa nisaidien ushaur mmoja tu je mimba ni yangu?

Kama ni yangu ilikuwaje akaingia mp?

Je sio kwamba ni ya huyo nabii wanataka kuniangushia jumba bovu?
Vita kati ya shetani na nabii
 
Angalieni hii
e3287c1521d7ac87d64bf2641a401abf.jpg
[/IMG][/IMG][/IMG][/IMG][/IMG]
 
Back
Top Bottom