Hela natafuta mwenyewe, sielewi kwanini serikali inajaribu kunipangia matumizi

Kama kawaida wamekurupusha uje kuropoka vipi nchi nyingine wakisema hamna kutuma pesa itabidi kila raia mgeni arudi kwao akafanye kazi nchini mwao maana ukiwa foreign unakuwa hawezi kutuma ama kutumiwa pesa?


Kila nchi ina taratibu zake kuhusu kuondoa fedha nchini kupeleka nje ya nchi hivyo na sisi hatuwezi kuwa tofauti, kuna Nchi ambazo hata Bureau de change haziruhusiwi, lkn kwetu zinaruhusiwa, kwa mfano huyo anayetaka kutuma Hela ya Uingereza ktk Tanzania mwambie amwambie huyo ndugu yake ajaribu kumtumia Euro au US Dollar ktk Uingereza kuja Tanzania yetu kama itawezekana, na mwambie ampe sababu za kutokuwezekana!
 
nchi ikiwa na utaratibu unaoutaka ni nchi ya hovyo..mazoea yakizidi huwa sheria...Magu is moving this Nation to the culture of observing rules and regulation.

what if unatuma hela ku finance uhalifu??
Nyambafu,paundi 1000 ITAFINANCE UCHAFU GANI WEWE?Namtumia mdogo wangu mwanafunzi.
 
Kwa nini usitafute nchi yako kama hautaki kupangiwa?
Majibu mengine yanaleta hasira,,,, sasa atafute nchi yake kivipi lofa wewe,,,,,,, nchi hii ni mali ya watanzania wote,,,,,, hakuna lofa anaeweza kujiona yeye ndie anastahili zaidi kuwa mtanzania kuliko mwingine,,,,,,, tafuta wewe kwanza lofa tena Somalia unaingia bure bila passport na ajira ya uhakika kwa alshababu,,,,,, ndio akili zinazoleta umaskini tu kwa watanzania,,,,,
 
Kila nchi ina taratibu zake kuhusu kuondoa fedha nchini kupeleka nje ya nchi hivyo na sisi hatuwezi kuwa tofauti, kuna Nchi ambazo hata Bureau de change haziruhusiwi, lkn kwetu zinaruhusiwa, kwa mfano huyo anayetaka kutuma Hela ya Uingereza ktk Tanzania mwambie amwambie huyo ndugu yake ajaribu kumtumia Euro au US Dollar ktk Uingereza kuja Tanzania yetu kama itawezekana, na mwambie ampe sababu za kutokuwezekana!
Acha ushamba nimekaa nje ya nchi muda mrefu,na nilikuwa natuma pesa Tanzania bila tatizo kabisa,mimi mtumaji ndo nilikuwa naonyesha kitambulisho changu,then mchukuaji anaonyesha kitambulisho chake akienda kuchukua pesa huko Tanzania.
 
Ndo tushangae sasa,enzi ya JK nilikuwa natuma wala siambiwi mtumiwa atume kitambulisho,nilikuwa naonyesha kitambulisho changu,natuma bila maswali.
'KILA ENZI ZINA ZAMA ZAKE MAMA NA IKISHA PITA NDIYO IMEPITA'
 
Acha ushamba nimekaa nje ya nchi muda mrefu,na nilikuwa natuma pesa Tanzania bila tatizo kabisa,mimi mtumaji ndo nilikuwa naonyesha kitambulisho changu,then mchukuaji anaonyesha kitambulisho chake akienda kuchukua pesa huko Tanzania.


Lkn ulikuwa unatuma fedha za nchi gani kuja Tanzania ktk hiyo uliyokuwa unaishi? Kwa mfano kama ukiwa unaishi Uingereza unafikiri unaweza kutuma Euro kuja Tanzania? Au kama unaishi Ujapani unafikiri uneweza kutuma US Dollars kuja Tanzania? Jibu ni hapana ukiwa Uingereza unaweza tu kutuma Hela ya Uingereza nje ya Uingereza, sasa ni kwa nini?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Acha ushamba nimekaa nje ya nchi muda mrefu,na nilikuwa natuma pesa Tanzania bila tatizo kabisa,mimi mtumaji ndo nilikuwa naonyesha kitambulisho changu,then mchukuaji anaonyesha kitambulisho chake akienda kuchukua pesa huko Tanzania.
Huko nje ilikuwa lini? tatizo hili lilianza nje huko ambako jamaa walikuwa wanatumia mtindo wa hawala kutuma pesa kwa ndugu jamaa na mwishowe yalivyoingia mambo ya uharamia baharini na kina ISIS mambo kote yamebadilika kabisa. Pale Benki kuu kuna kitengo maalum kinachojihusisha na 'money laundering' na kazi yao kubwa ni kutambua na kuzuia.
 
Kitambulisho changu hakuna tatizo ,nilikuwa naonyesha hata enzi za Jk,ila kitambulisho cha ninaemtumia sikuwahi niambiwe nionyeshe,bali yeye akienda money gram kuchukua huo Uingereza alikuwa anaulizwa kitambulisho,hiyo haina shida.
Hii nayo mpya bureau de change napo waulizwa kitambulisho?basi balaa kubwa hili,wakati kipindi cha nyuma tulibadilisha pesa bila kuulizwa kitambulisho.
Ndio Bureau De Change nimeulizwa kitambulisho na kuna watu waliokuwa wamekosa vitambulisho walikosa huduma, naona serikali inataka kuwa na mkono unaoweza kuratibu mzunguko wa fedha za kigeni, zamani nasikia ukikutwa na fedha za kigeni ilikuwa ni msala kwako huenda tunataka kurudi huko, nimewahi kutuma kiasi kikubwa cha hela kwenda nje ya nchi kipindi cha nyuma kupitia CRDB na nilikuwa na utaratibu wa kuonyesha tu anuani ya mpokeaji pamoja na taarifa za kibenki SWIFT code, acc no etc. Sasa kama imebadilika sawa ngoja tuone tutafikia wapi....lakini hata kitambulisho feki si ninaweza kutengeneza, hiyo benki ina uwezo wa kujua vyuo vyote vilivyopo Uingereza?
 
Hivi kweli tumefikia huku!! Eeh eeh hii serikali sasa itatufanya tushindwe kusaidiana kisa wao hawataki, hivi kama pesa hakuna nchini ni kosa la nani? La mtuma pesa nje ya nchi au la wachumi wabovu wa serikali ?
Hii coment inaonyesha hujui chochote kuhusu taratibu za kuhamisha pesa kutoka nchi moja kwenda nyingine na kwanini wanafanya hivyo.
Umedaka neno nchi haina pesa basi,
Bora ungekaa kimya tuu
 
Majibu mengine yanaleta hasira,,,, sasa atafute nchi yake kivipi lofa wewe,,,,,,, nchi hii ni mali ya watanzania wote,,,,,, hakuna lofa anaeweza kujiona yeye ndie anastahili zaidi kuwa mtanzania kuliko mwingine,,,,,,, tafuta wewe kwanza lofa tena Somalia unaingia bure bila passport na ajira ya uhakika kwa alshababu,,,,,, ndio akili zinazoleta umaskini tu kwa watanzania,,,,,


Kama hii nchi ni Mali yako basi tuma hizo Pauni za Uingereza nje ya nchi yetu vyovyote unavyotaka, kwa nini unakuja sasa kulia lia hapa?
 
Anapokuwa na jeuri ya kununua ndege cash ilhal eport ni zero anategemea ni kama sio kutuletea umaskini?
Badala ya kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji matokeo yake wengi wamekimbilia kuwekeza Kenya na huku mzunguko umekuwa zero...atulie sindano imwingie
Jamani sijui tunakoelekea ni wapi!

Leo nilienda bank flani kutuma pesa Uingereza(paundi 1000) kwa mdogo wangu. Sasa jamani nimekutaka na maswali kibao mara eti unaemtumia huko anafanya nini? Nikawajibu ni mwanafunzi. Mara eti mwambie atume admission letter, mara sijui passport, mara atume kitambulisho cha chuo.

Jamani huwa natuma mara kibao ila safari hii ndo nimekutana na vikwazo, ikabidi anitumie kitambulisho chake cha chuo.

Nikauliza why this,eti wananijibu Rais Magufuli hataki hela zitoke, eti nchi haina pesa.

Jamani hii serikali msitupangie matumizi ya pesa zetu.
 
Kila nchi ina taratibu zake kuhusu kuondoa fedha nchini kupeleka nje ya nchi hivyo na sisi hatuwezi kuwa tofauti, kuna Nchi ambazo hata Bureau de change haziruhusiwi, lkn kwetu zinaruhusiwa, kwa mfano huyo anayetaka kutuma Hela ya Uingereza ktk Tanzania mwambie amwambie huyo ndugu yake ajaribu kumtumia Euro au US Dollar ktk Uingereza kuja Tanzania yetu kama itawezekana, na mwambie ampe sababu za kutokuwezekana!
Pounds 1000 kweli mkuu? Labda Uzi uwe umeongezewa chumvi kwa hesabu za haraka ni 3ml kasoro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom