Pre GE2025 Heche: CHADEMA ikishika dola itakuwa ni mwisho wa vijana kufanya betting, tutabadilisha maisha yenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Nov 7, 2023
1,047
1,709
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche amewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuiunga mkono CHADEMA katika mchakato na dhamira yake ya kuiletea nchi maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Heche ameyasema hayo hivi karibuni katika Jimbo la Mafinga Mjini, wilayani Mufindi mkoani Iringa akisisitiza kuwa chama tawala kimeshindwa kutengeneza mifumo ambayo itaweza kuwapatia vijana ajira za kudumu.

Amewataka wananchi kuilinda na kuichangia CHADEMA ili kushiriki katika mageuzi ya mfumo wa uchaguzi kupitia kampeni ya No Reforms No Election kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu.

"Tukienda kwenye uchaguzi tutashinda nchi hii na tutabadilisha maisha yenu. Tutajenga uchumi ambao utabadilisha maisha ya vijana kiasi kwamba hakutakuwa na kijana atakayekuwa kwenye betting (michezo ya kubahatisha), mtakuwa kwenye viwanda mkifanya kazi, mtakuwa kwenye mashamba, na siyo mashamba ya kilimo cha jembe la mkono", ameeleza Heche.

 
Mimi nadhani Kamanda angesema wakiingia madarakani; watu watabet kwa afya, na siyo kama ilivyo sasa! Kwa sababu nimeshuhudia watumishi kibao tu wa umma wanabet! Je, na hawa nao hawana ajira?

Akumbuke tu kuna watu wengine kubet ni zaidi ya ajira! Yaani mtu ana pesa, na bado anabet!! Sasa mtu wa aina kwa mfano anaachaje kubet!
 
Mimi nadhani Kamanda angesema wakiingua madarakani; watu watabet kwa afya, na siyo kama ilivyo sasa! Kwa sababu nimeshuhudia watumishi kibao tu wa umma wanabet! Je, na hawa nao hawana ajira?

Akumbuke tu kuna watu wengine kubet ni zaidi ya ajira! Yaani mtu ana pesa, na bado anabet!! Sasa mtu wa aina kwa mfano anaachaje kubet!
Betting yenyewe ya kimaskini sana. Mtu anabeti Kwa jero au shing Tano🙄
 
Betting ndo maisha yetu ,,,,Chadema hamshiki dola kenge nyie
Sasa CHADEMA ndiyo imesababisha upate uraibu wa kucheza kamari?

Yaani uchawa ni ujinga sana. Sasa jamii inayoona kubeti ndiyo maisha yake inawezaje kukataa yale maneno ya Trump kuwa Afrika inabidi kutawaliwa Tena kikoloni?

Ilaaniwe CCM!!
 
Sasa CHADEMA ndiyo imesababisha upate uraibu wa kucheza kamari?

Yaani uchawa ni ujinga sana. Sasa jamii inayoona kubeti ndiyo maisha yake inawezaje kukataa yale maneno ya Trump kuwa Afrika inabidi kutawaliwa Tena kikoloni?

Ilaaniwe CCM!!
"ccm ni janga la kudumu!!" aliongea teja wa kubeti baada ya mkeka kuchanika!!
 
Nyie ndio vijana wa Hovyo
Wa hovyo hovyo kabisa. Ndiyo hawa wanazunguka mitaani na zile pikipiki zao wanazotumia kusambaza ujinga.

Mwalimu alisema Tanzania tuna maadui watatu.

1. Ujinga

2. Umasikini

3. Umasikini

Sasa CCM ya Sasa badala ya kupambana na hao maadui yenyewe ndiyo wanawajengea kibanda kabisa kwenye maisha ya watanzania.
 
Hawa ndo maana Mungu anawalaani hawafiki kokote na itikadi zao uchwara. Marekani kuliko na uchumi mkubwa kabisa wanabeti........ pumbaaavu zake, aendelee kuwadanganya hao manyumbu
Betting marekani ni halali Lakini inadhibitiwa. Unadhani ni kwa nini mtu chini ya miaka 18 haruhusiwi kucheza kamari huko huko marekani?
 
Maneno matupu alitakiwa atafute ufumbuzi sasa hivi atoe ajira sasa

Kama ni wawekezaji Chadema hawajazuiwa kuwaleta au wao wenyewe kufungua miradi na kutoa ajira

Yeye nwenyewe ajira hana anategemea michango ya tone tone chapombe huyo
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche amewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuiunga mkono CHADEMA katika mchakato na dhamira yake ya kuiletea nchi maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Heche ameyasema hayo hivi karibuni katika Jimbo la Mafinga Mjini, wilayani Mufindi mkoani Iringa akisisitiza kuwa chama tawala kimeshindwa kutengeneza mifumo ambayo itaweza kuwapatia vijana ajira za kudumu.

Amewataka wananchi kuilinda na kuichangia CHADEMA ili kushiriki katika mageuzi ya mfumo wa uchaguzi kupitia kampeni ya No Reforms No Election kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu.

"Tukienda kwenye uchaguzi tutashinda nchi hii na tutabadilisha maisha yenu. Tutajenga uchumi ambao utabadilisha maisha ya vijana kiasi kwamba hakutakuwa na kijana atakayekuwa kwenye betting (michezo ya kubahatisha), mtakuwa kwenye viwanda mkifanya kazi, mtakuwa kwenye mashamba, na siyo mashamba ya kilimo cha jembe la mkono", ameeleza Heche.

View attachment 3286691
kwamba yeye na lema wataacha kubeti? :pedroP:
 
Back
Top Bottom