Hebu mjue shitambala....ni hafai kabisaaaa

Ujinga ujinga tuuu huyo bwana hana akili kabisa anachafua kabila ketu sana uyoo
 
Elimu ya shitambala ichunguzwe , haiwezekani mwanasheria ashindwe kesi zote .
 
Namfahamu bwana huyo kapteni wa jeshi ila sielewi aliachaje kazi kwa muda mfupi kiasi kile ni mwanasheria kweli tena mzuri tu labda pesa maana ccm bwana tena wangekuwa na Lissu wangependeza sana ana uwezo mzuri
 
Hahahaa! umenikumbusha ule msemo aliokua anasema "ne mwana wapipa",Sugu akaja kumjibu kua utakua "mwana wa ndoo".
Nakumbuka mara ya kwanza aligombea ubunge wa Mbeya vijijini baada ya mbuge aliye kuwepo kufariki cha ajabu kwenye fomu yake aka saini yeye mwenyewe kama advocate (kwa kifupi akajiapisha), akawekewa pingamizi na kushindwa - kilaza

2015 akagombea tena kupitia CDM, alipata wafuasi na washabiki wengi mno mpaka akaambiwa hata asipopiga kampeni kura ni zake. Nakumbuka kuna siku alifanya mkutano pale mbalizi {stendi ya sasa - tarafani) watu walifurikaaaa, akaongea kwa mbwembwe eti ana hasira na CCM.

Katikati wakati kampeni zinaendelea akarubuniwa na CCM ili auze jimbo, wananchi na wafuasi wakashitukia wakaripoti CDM makao makuu ili achunguzwe, nakumbuka Dr Slaa akasema aachwe maana anafuatiliwa kwa karibu na Usalama wa CHADEMA, kumbe alishapewa fedha tayari CCM ikashinda. Yeye akaenda Dodoma kutangaza kuwa amerudi CCM. Wananchi walikuwa hawataki hata kumuona kwa usalti.

2015 eti akaenda kugombea ubunge Mbeya, katupwa kule na Sugu.

Jeshini alifukuzwa japo anadai ameondoka mwenyewe.

Sitamsahau Shitambala
 
Kuna uchanguzi mmoja tulimpingia kura,akatuacha kwenye mataa kweli niakamini jamaa ni KILASA kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom