Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 21,078
- 43,054
Alafu kuna kitu hamjui aiseee kuhusu huko chuo..
Narudia tena hakuna GPA za chupi..
Dada zetu wanapambana kule kusoma na kufikisha coursework kwa akili yao wenyewe ila sio kwa kuvua vua kama kuvua watavuana wanafunzi kwa wanafunzi ila sio wanafunzi kwa malecture..
Sasa kama hizo gpa za chupi zinapatikana kwa wanafunzi kuvuana chupi wao kwa wao nambeni mnielekeze zinakuaje
Narudia tena hakuna GPA za chupi..
Dada zetu wanapambana kule kusoma na kufikisha coursework kwa akili yao wenyewe ila sio kwa kuvua vua kama kuvua watavuana wanafunzi kwa wanafunzi ila sio wanafunzi kwa malecture..
Sasa kama hizo gpa za chupi zinapatikana kwa wanafunzi kuvuana chupi wao kwa wao nambeni mnielekeze zinakuaje