Haya mnayoyaona ya wanachuo kupigania bwana ni matokeo ya kutegemea G.PA za" chupi"

Alafu kuna kitu hamjui aiseee kuhusu huko chuo..
Narudia tena hakuna GPA za chupi..
Dada zetu wanapambana kule kusoma na kufikisha coursework kwa akili yao wenyewe ila sio kwa kuvua vua kama kuvua watavuana wanafunzi kwa wanafunzi ila sio wanafunzi kwa malecture..

Sasa kama hizo gpa za chupi zinapatikana kwa wanafunzi kuvuana chupi wao kwa wao nambeni mnielekeze zinakuaje
 
Kwanza kabisa mm c o mwana CCM

Pili koma kabisa kuniita mimi fara, Fala

Tatu, hichi kitufe cha dislike kipo ili kuruhusu watumiaji wengine kutoa maoni yao bila uhitaji wa kuandika hoja ya kupinga kila wakati.
Kwakuwa umekana kuwa wewe sio mwana ccm basi sio fara
 
Alafu kuna kitu hamjui aiseee kuhusu huko chuo..
Narudia tena hakuna GPA za chupi..
Dada zetu wanapambana kule kusoma na kufikisha coursework kwa akili yao wenyewe ila sio kwa kuvua vua kama kuvua watavuana wanafunzi kwa wanafunzi ila sio wanafunzi kwa malecture..

Sasa kama hizo gpa za chupi zinapatikana kwa wanafunzi kuvuana chupi wao kwa wao nambeni mnielekeze zinakuaje

Baazi ya watu sijui hawajafika Chuo, au wamesoma vyuo gani.

Rate ya Kutembea na Recturer kwa Wadada wa chuo, ni less to 1%

Mpaka unapata degree yako ushasimamiwa na Recturer hata 20, Sasa utatembea nao Wote?

Na kama kuna Mapenzi ya Recturer na Mwanafunzi, Ujue hapo chambo ni pesa na sio Mitihani kwa asilimia kubwa, Kitu ambacho hata mitaani kwa wasio soma kinatokea

So, Vijana waache Ushamba
 
Alafu kuna kitu hamjui aiseee kuhusu huko chuo..
Narudia tena hakuna GPA za chupi..
Dada zetu wanapambana kule kusoma na kufikisha coursework kwa akili yao wenyewe ila sio kwa kuvua vua kama kuvua watavuana wanafunzi kwa wanafunzi ila sio wanafunzi kwa malecture..

Sasa kama hizo gpa za chupi zinapatikana kwa wanafunzi kuvuana chupi wao kwa wao nambeni mnielekeze zinakuaje
Umewahi kupitia chuoni, yaani wewe una elimu yoyote ya chuo?..Mimi nimesoma zaidi ya vyuo viwili kwa hiyo nilichokiandika hapa nakifahamu.
 
Baazi ya watu sijui hawajafika Chuo, au wamesoma vyuo gani.

Rate ya Kutembea na Recturer kwa Wadada wa chuo, ni less to 1%

Mpaka unapata degree yako ushasimamiwa na Recturer hata 20, Sasa utatembea nao Wote?

Na kama kuna Mapenzi ya Recturer na Mwanafunzi, Ujue hapo chambo ni pesa na sio Mitihani kwa asilimia kubwa, Kitu ambacho hata mitaani kwa wasio soma kinatokea

So, Vijana waache Ushamba
Ni vile watu wana story za vijiweni au mybe zamani ilikua hivo..
Mi nimeshangaa sana aiseee...
 
Punguza hizo dislike bhana.
Mkuu. simchukii mtu, sikuchukii. kama mupost inanikera naweka dislike haina maana nina chuki na mtu, hapana.
Niulize vitufe hivi ni vyanini kama havitoweza kutumika?

Vipo kutoa maoni, reaction, feedback ya kilichoandikwa, cittaji kuandika hoja ya kupinga au kuandika kwanini natoa Dislike kama vile hakuna anae ulizwa akitoa like.
Should I demand explanation for every like bhana?

kaza muboot tuende

Oh, punguza muposti ya kukera bac
 
Umewahi kupitia chuoni, yaani wewe una elimu yoyote ya chuo?..Mimi nimesoma zaidi ya vyuo viwili kwa hiyo nilichokiandika hapa nakifahamu.
Jamaa id yako inafanya nianze kukuogopa mbona unanifokea sasa....

Skia hakuna hizo vitu acha story za vijiweni..
Nambie chuo gani kina hayo mambo ambayo wanafunzi wanapata GPA za chupi.....

Unajua mchakato wa paper mpaka kufika UE alafu uje kusema mtu anatoa mbunye..

Oky hiyo mbunye watatoa wangapi.....
 
Back
Top Bottom