hao wamama sio wamachame??
ata kama sio warombo ni watu wa moshi au arusha ndio tabia zao hizo bia na nyama chomaHamna wamachame wa Hivyo aisee hao warombo piwaaaa
acha uongo umeshawahi ijaribu ndo ikakufanya hivyoDu pombe sio chai ndo maana sijawahi shawishika kunywa pombe saabu sioni faida zaidi ya kunitesha na kunizalilisha