Hawa wamemaliza sikuu yao hivii, tutumie picha ya huko wamemalizaje?

Du pombe sio chai ndo maana sijawahi shawishika kunywa pombe saabu sioni faida zaidi ya kunitesha na kunizalilisha
 
Kweli magufuri kazi anayo hizi zama za hapa kazi tu bado kuna watu wanatandika mavituzi mpaka wanazima kabisa ngoja tuje tuwatumbue
 
Najikumbuka hapa nacheka tuu hiyo raha hapo usithubutu
 
Hamna wamachame wa Hivyo aisee hao warombo piwaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…