Hawa mabinti wa hiki kizazi wabadilike vinginevyo watakuwa hasara kwa wazazi

strongest

JF-Expert Member
Nov 28, 2024
483
2,074
Sasa hivi ukishakua na mtoto wa kike ni kama nusu hasara kibaya zaidi hata wale tunaowategemea wawe smart kichwani mfan wasomi wanavyuo n.k ndo wanafanya blunders .

Kimsingi mabinti wengi wamekosa ambition za vitu vya maana wao wanatafuta shortcut kupitia hasa kupitia ngono

Vibinti vidogo vitambea na wazee kisa wanahela ,wengi wanatoa mimba ,wachache wanakua single mothers humo TikTok telegram wamejaa wanafamya ufirauni yani tafrani tupu

Naomba Africa na Tanzania isiwe na hasara ya watoto wa kike kama ilivyo bara la america.

Kwa bara la America statistics zinaonesha wanandoa 92,% hawana preference ya watoto wa kike instead karibu wote Wana prefer male .

Nini kifanyike

Wazazi tuwe wakali kwenye malezi kwa hawa mabint zetu

Ni mbaya kufika uzeeni wakati unataka kurelax lakini ukiona maisha mienendo ya watoto unaumia .
 
kibongo ushoga upo overated kuna idadi ndogo san na wewe kama baba ukilea mtoto akaja kua shoga au ukashindwa kumlea mtoto wa kiume kikamanda
jitafakari yawezeaka na wew ukawa mmoja wapo.
Kama baba ukishindwa kumlea mtoto wa kike au kumsimamia mamaake amlee katika misingi mpaka akaja kuwa danga, au akawa na tabia za hovyo jitafakari huenda na wewe ni mmojawapo wa madanga
 
Kama baba ukishindwa kumlea mtoto wa kike au kumsimamia mamaake amlee katika misingi mpaka akaja kuwa danga, au akawa na tabia za hovyo jitafakari huenda na wewe ni mmojawapo wa madanga
Nimekuenda Bure maana tukisema sisi wanawake watu wanajaa matusi
Watoto wetu wa kiume ni wakuaangaliwa sana Tena sana mtoto wa kiume anakuaje kama wa kike?? Kama anaona mtoto wa kike ni wakuchungwa basi amesahau wa kiume
 
kibongo ushoga upo overated kuna idadi ndogo san na wewe kama baba ukilea mtoto akaja kua shoga au ukashindwa kumlea mtoto wa kiume kikamanda
jitafakari yawezeaka na wew ukawa mmoja wapo.
Idad ni kubwa sema wengi wanajificha kwenye nguo zao na ni waoga jamii kuwafaham wanajificha sana wapo sana ten huko shule za bwen ndo balaa walimu wanaficha mengi Kwa wazaz Ili wasiharibu reputation ya shule ila kama unampeleka mtoto bweni hakikisha unamfatilia haswa
 
Kama baba ukishindwa kumlea mtoto wa kike au kumsimamia mamaake amlee katika misingi mpaka akaja kuwa danga, au akawa na tabia za hovyo jitafakari huenda na wewe ni mmojawapo wa madanga
sasa kama umeoa mwanamke aliyekua danga kwenye prime age akaja kutulia unadhani kwenye malez ataweza.

ukioa mwanamke aliyekua muhuni baadae akatulia ni sawa na mbwa mwitu mwenye ngoz ya kondoo lazima awe failed project.
 
sasa kama umeoa mwanamke aliyekua danga kwenye prime age akaja kutulia unadhani kwenye malez ataweza.

ukioa mwanamke aliyekua muhuni baadae akatulia ni sawa na mbwa mwitu mwenye ngoz ya kondoo lazima awe failed project.
Sikupingi nipo nawewe kwa hili kwa mantiki hio hata uzi wako hauna maana, kwasababu unawashauri wazazi ambao nao pengine wanahizo tabia unategemea waweze kuwafundisha watoto wao maadili mema ikiwa na wao hawana hayo maadili.
 
Idad ni kubwa sema wengi wanajificha kwenye nguo zao na ni waoga jamii kuwafaham wanajificha sana wapo sana ten huko shule za bwen ndo balaa walimu wanaficha mengi Kwa wazaz Ili wasiharibu reputation ya shule ila kama unampeleka mtoto bweni hakikisha unamfatilia haswa

Idad ni kubwa sema wengi wanajificha kwenye nguo zao na ni waoga jamii kuwafaham wanajificha sana wapo sana ten huko shule za bwen ndo balaa walimu wanaficha mengi Kwa wazaz Ili wasiharibu reputation ya shule ila kama unampeleka mtoto bweni hakikisha unamfatilia haswa

Sikupingi nipo nawewe kwa hili kwa mantiki hio hata uzi wako hauna maana, kwasababu unawashauri wazazi ambao nao pengine wanahizo tabia unategemea waweze kuwafundisha watoto wao maadili mema ikiwa na wao hawana hayo maadili.
mzee wewe mwanaume ukishindwa kumlea mtoto wa kiume basa na wewe utakua .............

mwanaume kumlea jisia ke ni ngumu na ni rahisi kumlea jinsia me
 
Back
Top Bottom