Punguza hasira kaka. Historia itakuumbua.Chato.
Chato town, population = 17,508. Chato district population = 365,000
Economic activitiy = nothing significant apart from subsistence farming which depend on rain. Contributes less than 1 percent to the GDP.
Tourist attractions = none
At the same time Songwe airport, the main airport serving the southern highlands, an area with more than 5 mil people and also being the bread basket of Tanzania doesn't have runway lights till today!
Mwanza airport yenyewe upanuzi wake has been going on at such a slow pace for the past 2 years and at times even stalled!
We are willing to spend billions on someone's vanity project ambayo will generates nothing in return and adds little value, lakini tunaache sehemu where the money would have been better spent.
A small airport would have been fine, lakini sio kujenga an airport with a runway that could almost "rival" JNIA, at a town/district with a population lower than some suburbs in Dar.
Someone needs to look at themself in the mirror and reevaluate the choices they have been making so far.
Nikutulize pia kwa kukupongeza kwa kuvikumbuka viwanja vya Mwanza na Mbeya. Ila nipingane na wewe kwa haya yafuatayo.
1. Kigezo cha idadi ya watu kiondoe kwenye equation utachekwa. Mara nyingi viwanja hujengwa mbali na miji na kunakuwa na mji mkubwa ndani ya kilomita 20 hadi 100.
Mfano nikuulize. Hivi walipoamua kujenga uwanja wa KIA hapo ulipo miji ya Moshi Arusha na Boma Ng'ombe ilikuwa na watu wangapi wakati huo. Kwa nini wasingepanua kiwanja cha moshi au cha arusha vilivyo kuwepo.
Je. Hadi leo miji ya Chato na Boma Ng'ombe wapi kuna watu wengi? Wilaya ya Siha na Chato ipi ina watu wengi?
2. Ujenzi wa uwanja wa chato ni muhimu na haujakwamisha wala kuzuia ujenzi wa viwanja vingine muhimu vya Mwanza Tabora Mpanda Mbeya Shinyanga Simiyu Mara Bukoba Kigoma Singida nk.
Kama hivyo vingine havijajengwa basi ama kuna sababu nzuri tu za kutokuvijenga au kuviboresha, ama kuna sababu mbaya au figisu figisu.
Ni jukumu letu kuonyesha umuhimu wa ujenzi au upanuzi wa hivyo viwanja vingine tunapojadili ujenzi wa kiwanja cha chato, na kupiga kelele hivyo viwanja navyo vijengwe. Kuliko kukashifu uwanja kujengwa chato.
Kuna tatizo gani kila walaya kuwa na kiwanja bora cha ndege kama kinalipa?
Mie namwomba JPM na serikali yake mkandarasi aliyeko chato akimaliza wampe mkataba aendelee pale Mugumu kuweka kiwanja cha kisasa maana jamaa anaonekana ni mtaalamu wa ujenzi maana anaweza kujenga hivi viwanja kwa muda mfupi.