Hatari yaku date na single mummyz

Aisee imenibidi nijizuie sana kutoa povu langu la fire extinguisher.
Kila mwanamke/mwanaume ni potential single mother/father respectively. Kuna sababu nyingi sana zinachangia mtu kuwa single mother/father.

Jiheshimu mkuu! Kuwa na anonymous ID hapa JF isichochee kuanzisha threads za kipuuzi kama hizi. Mwanaume wa kweli anakufa na yaliyomo moyoni mwake.

ONYO: Kubalehe chini ya umri ni hatari kwa akili yako!
Mbona umepanic sana au wewe ni miongoni mwao mimi nimetoa rai yangu tu kwamba dating single mothers is ni sawa nakucheza game ambayo mwenzio kaisevu full stop,sasa povu la nini......kama ulishafanya mistake ni wewe so ustake na wengine wahadaike kutoujua ukweli.
 
Mbona umepanic sana au wewe ni miongoni mwao mimi nimetoa rai yangu tu kwamba dating single mothers is ni sawa nakucheza game ambayo mwenzio kaisevu full stop,sasa povu la nini......kama ulishafanya mistake ni wewe so ustake na wengine wahadaike kutoujua ukweli.
Watu wa Mbeya bana....

Hebu kalime viazi, tech waachie wanaojua kuitumia.

By the way mimi sijapanic hata kidogo ila nimekasirishwa na hoja zako za kipuuzi. Ila sikulaumu, ukikua utaacha!
 
Aisee imenibidi nijizuie sana kutoa povu langu la fire extinguisher.
Kila mwanamke/mwanaume ni potential single mother/father respectively. Kuna sababu nyingi sana zinachangia mtu kuwa single mother/father.

Jiheshimu mkuu! Kuwa na anonymous ID hapa JF isichochee kuanzisha threads za kipuuzi kama hizi. Mwanaume wa kweli anakufa na yaliyomo moyoni mwake.

ONYO: Kubalehe chini ya umri ni hatari kwa akili yako!
Usinishambulie mimi mshambulie aliekuzalisha nakukuacha mi nawaonya tu vijana kwamba some of single mothers ni mizgo ya vyupa
 
Umechanganyikiwa ww coz hujaelewa nizungumzacho may b wewe ni game au unacheza game lililoseviwa na mtu that's y umejaa povu......hahahaaa ID iskutishe kupakazia mikoa ya walima viaz mwanzamwanza one hapa toremooo
 
Habarini wadau kwanza c kama nawadharau single mumy But natoa tu rai yangu kwa vijana especially vi Ben ten kwamba kutoka kimapenzi na mwanamke aliezalishwa alafu akaachwa ni sawa nakucheza game ambayo mwenzio kaichezaaaa mwishowe kaamua kuisevu kwny simu yake then baadae unakuja wewe nakujitutumua kuanza kuicheza,.......tambua tu mwenye mchezowake akija tu lazima utampisha tu.....be careful vijana nawasilisha tu cjamtusi mtu

Sijui tuanze kukagua vyeti JF, naona km shudu zimezidi na zinazidi sn hasa hii generation ya bombadier.

Mtu anaitwa na umesema single mom, bado unasema mwenyewe akija sijui utampisha. Mfano wako wa game sijui ku save na mwingine kuichezea pia ni mfu.

Unatoa rai I expected utoe experence yako au sort of a story/scenario au kisa flan sasa kweli kabisa umekaa, ukafikiri na kuja jf kuanzisha uzi huu ??
 
Sijui tuanze kukagua vyeti JF, naona km shudu zimezidi na zinazidi sn hasa hii generation ya bombadier.

Mtu anaitwa na umesema single mom, bado unasema mwenyewe akija sijui utampisha. Mfano wako wa game sijui ku save na mwingine kuichezea pia ni mfu.

Unatoa rai I expected utoe experence yako au sort of a story/scenario au kisa flan sasa kweli kabisa umekaa, ukafikiri na kuja jf kuanzisha uzi huu ??
 
SINGLE MOMZ MOST OF THEM:
1/ They are financial dead-ends
2/ Their body are inferior to women who are not
Mothers
3/ They are separeted or divorced from their baby
Dady for a reason and usually its very bad.
 
Sijui tuanze kukagua vyeti JF, naona km shudu zimezidi na zinazidi sn hasa hii generation ya bombadier.

Mtu anaitwa na umesema single mom, bado unasema mwenyewe akija sijui utampisha. Mfano wako wa game sijui ku save na mwingine kuichezea pia ni mfu.

Unatoa rai I expected utoe experence yako au sort of a story/scenario au kisa flan sasa kweli kabisa umekaa, ukafikiri na kuja jf kuanzisha uzi huu ??
Bilateral shaka na wewe nimhanga pole sana but ukweli ni mchungu jf ni darasa huru wacha vjana wapate material nyeti toka koromije kwamba single mothers nikukaanao kwa tahadhari
 
SINGLE MOMZ MOST OF THEM:
1/ They are financial dead-ends
2/ Their bodies are inferior to women who are not
Mothers
3/ They are separeted or divorced from their baby
Dady for a reason and usually its very bad.

Ha ha ha andika kiswahili au kikwenu tuu.... their bodies are what ??
Hizi ni shudu nyingine !!
 
Suala la single mum naona linawazingua sana vijana, kuna aina mbili ya single mum wa kuishi nae na mwingine mna mahusiano wa kila mtu anaishi kwake, huyo wa kuishi kwake mara nyingi atakuwa mtamu maanake utakuwa una majukumu yoyote zaidi ya kugegedana tu na kuondoka,huyo wa kuishi nae mjengo mmoja ndio balaa inategemea sasa hapo si hukumu ni tabia ya mtu. Sasa angalizo langu binafsi ukitaka kuishi na single maza kama ujawahi kupata watoto ama mtoto jitahidi mtafute single maza mwenye mtoto wa kike awa watoto wa kike wana mapenzi sana ya baba aijalishi wa kufikia au babake mzazi sasa jiloge kaa na mwanamke mwenye mtoto wa kiume hata umlee vipi watoto wa kiume ni wakolofi hadi kero.
 
Single moms maranyingi sana ukimuuz tu kidogo basi lazma amkumbuke mzazi mwenzie hatakama alimtenda vibaya sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom