Hashtag mpya ya kupinga kulipia local channel

[HASHTAG]#freelocalchanel[/HASHTAG]

[HASHTAG]#freelocalchanel[/HASHTAG]

[HASHTAG]#freelocalchanel[/HASHTAG]
 
[HASHTAG]#FREE[/HASHTAG] LOCALCHANNEL
Yaan wamekata channel zote za local hawa star times mm nimeenda nikauliza wameniambia local channel zina matatizo but ukilipia hata kile kifurushi cha 6,000 unaziona.huu si uongo huu jaman?TCRA tunaomba mlifuatilie hili hapo Startimes
Huo ni wizi wa wazi kabisa
 
[HASHTAG]#freelocalchanel[/HASHTAG]<br /><br />[HASHTAG]#freelocalchanel[/HASHTAG]<br /><br />[HASHTAG]#freelocalchanel[/HASHTAG]
 
Am very sorry nilishaacha kulipia ving'amuzi. Deni likifika 70000 natupa king'amuzi cha startimes after all siku hizi habari zimekuwa zs upande mmoja tu wa kusifia.
 
Am very sorry nilishaacha kulipia ving'amuzi. Deni likifika 70000 natupa king'amuzi cha startimes after all siku hizi habari zimekuwa zs upande mmoja tu wa kusifia.
Kwenye ving'amuzi kuna post paid?
 
[HASHTAG]#Free[/HASHTAG] local channel.


Kwanza hatukuwaomba kutuletea ving'amuzi tutumie kwa lazima hawa jamaa ni wananini lakini pumbavu hawa

Sent from SONY EXPERIA Z5 PREMIUM
 
Back
Top Bottom