Hasara za kuwa baba wa kambo

Mnatumia nguvu nyingi kuongelea haya mambo

Hebu yafikirie haya

1.Mwanamke kufiwa na mumewe akiwa katika umri mdogo kwahiyo asiolewe tena?

2.Ndoa zenye migogoro,kwahiyo asiachike avumilie mateso asiolewe kwingine?

3.kuzalishwa katika umri mdogo kisha kutelekezwa kwahiyo huyu asiolewe tena kisa ana m(wa)toto?

Wapo wives material kibao ambao ni single mother ,wanaolewa na NDOA zinaendelea vizuri tu,tunao mitaani na tunaona.
hujajibu hoja
 
Kama ana chini ya miaka 22...

Kama ana mtoto mmoja...

Kama hajawahi kuolewa au kuishi na mwanaume...

Kama huyo mtoto alikataliwa na baba yake, na atabeba ubin wako mwanaume..

Kama baba mtoto amekufa...

Mwisho kama ana u-african-wife-material...

Basi huyu single maza anahitaji kupewa nafasi ya 2..


Kwa dunia ya sasa mambo yalivyo, mabinti kubebeshwa mimba na kukimbiwa imekuwa new norm...


Kama umemuassess na ukaona ana tabia njema, basi oa...
................................................................................


Ila unakuta single maza amezalishwa na miaka 25 na kuendelea! Huyo alikuwa anajua anachokifanya. Mwanaume kimbia.
 
HAPANA HAKUNA POINT HATA MOJA
1.Kuiba familia ya mtu no kosa kubwa sana yaani kumpora mwanaume mwenzako mke wake na mtoto wake no kosa
2. Kumpenda mtu aliyewahi kupendana na mtu mwingine sio kosa
So Kama mwanamke ameachika au mumewe amekufa au alizalishwa kabla ya ndoa Kuna shida gani kumpenda?
Kwanini wahenga walisema Penda Boga na ua lake?
 
HAPANA HAKUNA POINT HATA MOJA
1.Kuiba familia ya mtu no kosa kubwa sana yaani kumpora mwanaume mwenzako mke wake na mtoto wake no kosa
2. Kumpenda mtu aliyewahi kupendana na mtu mwingine sio kosa
So Kama mwanamke ameachika au mumewe amekufa au alizalishwa kabla ya ndoa Kuna shida gani kumpenda?
Kwanini wahenga walisema Penda Boga na ua lake?
Sawa simp
 
1. Daima mama mtoto atakuona fala.
Usidanganyike na ngozi ya kondoo aliyojivika kwa nje, ukweli ni kwamba kwenye akili yake anakutafsiri tofauti. Anakuona simp mmoja mjinga jinga. Hata hivyo ukweli wewe ni mjinga na mama mtoto analijua ilo ndio maana hata yeye hawezi kuruhusu/kufurahia kaka au mtoto wake wa kiume aoe single mother.

2. Kushuka kwa heshima yako mbele ya wanaume wanaojitambua.
Mwanaume aliekamilika kimwili na kiakili anatakiwa kuanzisha familia yake yeye mwenyewe, ni ujinga, upumbavu, ushenzi na utahira kwa kijana kuunga tela kwenye familia ya mwanaume mwingine. Binafsi nikiona kijana amekubali kuwa baba wa kambo huwa namwona kama mgonjwa wa akili.

3. Kuongezeka kwa gharama za maisha kwa kubeba jukumu lisilokuhusu.
Mwanamke tu anakuja kwenye maisha yako kama liability, sasa embu fikiria anakuja na mtoto/watoto wake. Hii ni sawa na kulipa mkopo ambao hakuuchukua wewe.

4. Baba mtoto bado yupo around.
Usije ukajidanganya kwamba baba mtoto hayupo tena kwenye maisha ya mtoto na mzazi mwenzake. Ukweli ni kwamba kama sio wanaonana na kuwasiliana basi huwa anapita pita kwenye profile ya mzazi mwenzake uko facebook na instagram kuifuatilia familia yake. Mama mtoto pia anafuatilia maisha ya mzazi mwenzie. Hapa kama waliachana kwa mihemko au kuna feelings zao hazikua solved basi kupasha kipolo ni suala la muda na sehemu sahihi tu. Wazazi wanatengana tu, ila hawaachani.

5. Mama mtoto anakuja kwako na emotional baggage.
Achana na hawa delusional and damaged women waliou-brand usingle mother kama kiashiria cha upambanaji na kupevuka kiakili wakati kiuhalisia ni kiashiria cha umalaya na ufanyaji maamuzi mbovu. Kutoka moyoni kabisa hakuna mwanamke anaependa kuwa single mother, amejikuta katika hali iyo kwa sababu ya maamuzi yake mabovu, ni hali ambayo inamfanya awe na kinyongo, maumivu na majuto moyoni. No matter how hard you will try to gain her trust she will always look at you as a suspect. Ukiamua kubeba hicho kifurushi utakua victim wa tatizo ambalo haukusababisha wewe.

6. Baba kifedha sio kimamlaka na kisheria.
Ushirika wako katika malezi ya mtoto ni kutoa hela za malezi tu nje ya hapo hauna tija nyingine yoyote. Ukichukua hatua za kinidhamu kwa mtoto pale anapokosea utasababisha vita kubwa sana na mama ake. Vile vile wakati wowote baba wa mtoto akijitokeza yeye ndie atakua na haki zote za kisheria juu ya uyo mtoto.

7. Utakua second option ndani ya nyumba yako.
Mama mtoto hatokujali wala kukupa attention na kipaumbele kwa kiasi ambacho anafanya hivyo kwa mtoto wake.

8. Unatumika kama retirement plan.
Mama mtoto hakupendi , anataka tu sehemu ya kuponea yeye na mtoto/watoto wake. After she spent her prime years living reckless now she is on hunting of bailout from her messy. Trust me, she is not looking for love, she is looking for a retirement plan.

Recomendation.
It's not worth it being a step father. Bloodline is very important. Don't be that simp who sacrifices his empire for someone who didn't bothered to build hers. Always remember, there is no happy ending for a simp.
Nyuzi kama hizi zinakupa taswira kwamba wanaume siku hz ni tia maji tia maji tu. Kama huwezi kuishi na single maza hata ukimpata asiye na mtoto bado hitoweza kuishi nae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom