Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 34,448
- 37,922
Ji kama wametoka ssyari nyingine kabisa, wametua kwa picha soon watarejea walikotokaUnapanda Ngorika na Abood then ukutane na watoto wa Kishua?
Kwanza hawa probably hukutana abroad kwenye event nzito nzito au kwenye midege mikubwa wakielekea abroad.
Hawakukutana kwenye daldala za simu 2000 au za Mbagala hawa.