Harusi ya kuolewa Binti wa Rais Hussein Mwinyi

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Jun 25, 2019
2,947
3,083
Nmepita pita kwenye mtandao nimekutana na picha za sherehe ya HARUSI ya kuolewa kwa BINTI ya muheshmiwa Rais wa Zanzibar Ndugu Hussein Mwinyi.

Nmepatwa kiu ya kujua huyu mshaikaji aliepata hii Bahati, na naskia jamaa NI mmasai wa Arusha na NI Mkristo sasa sijajua Nani kabadilisha dini hapo, wataalamu wa mambo wazee wa kuchimbua taarifa mbalimbali leteni majibu.

Naskia shehere ilihudhuruiwa na Mawaziri wengi Sana wa bara na visiwani, pamoja na Babamkwe (Raisi wa Zanzibar) baadhi ya wageni alikuwepo mama Samia

Huyo dogo nadhani hata yeye kwao mambo yatakuja sio mabaya atakua wa kishua, hivi wanakutania wapi na hawa watoto wa Marais? Huyu jamaa anabahati sana, naskia sherehe ilihudhuriwa na watu zaidi ya 2500 na wengi viongozi wa serikali.

Instagram_c9236ad2119c4f84a853d446cf4ebf80.jpg
Instagram_8ae4166026eb400e9ab1083b159c4353.jpg
Instagram_efb01f782c1a4f84b6a5c5152f3558c9.jpg
Instagram_8fd533e841074292bfd8a2244830f2ce.jpg
 
Back
Top Bottom