Harmonize anawekwa mjini na demu wa kizungu, aachana rasmi na Jackline Wolper

Kwa story za kunyapia nyapia zinadai kuwa harmonize na wolper gambe washabwagana na kila mtu kachukua 50 zake na kwa ubuyu unaosambaa mjini unadai kuwa Dogo kapata mtt mkaliii wa kitaliano anajulikana kwa jina la sarah na tyari yupo mimba....so mda cyo mrefu harmonize ataitwa baba......demu nasikia anamkwanja wa kutosha ndo anaempa jeuri harmonize apa mjini ndo maana kila siku anabadili dinga tu mara Prado mara Audi.

Hongera sana mmakonde kama izo story ni za kweli.....endelea kuliwakilisha taifa kwa huyo muitaliano.
Kwa mujibu wa Mange ,Harmonize amemwaga Wolper kisa Wolper ananuka K
 
Ni kutoka kwa Shilawadu.. wawili hawa wanadaiwa kuachana, sijui inatokana na bidada huyu kuchafuliwa na hyule mwingine anayeishi mamtoni ama vipi, maana amekuwa akipost mambo ya kumdhalilisha dada huyu huko Insta, na watu wengi wanavyomuamini Harmonize akaona isiwe shida...

Harmonize is like Harmorappa WAMEFANANA SANA HAWA WAMAKONDE WA MASASI
 
jamani watuu mbona shidaaa! Mmeomba usiku na mchana waachane ....mnapenda kumuona jack hana furaha
kiufupi ntamiss vile Harmonize alivyokuwa anamdekeza bibie
 
Back
Top Bottom