- Thread starter
- #21
Kuwa marioo ni bahati shekh sizani kama kila mwanaume ana hilo kaziaHii tabia naona inashika kasi siku hizi! Hata hawaoni aibu. Badala ya kukemewa ndio kwanza inapongezwa.
Kuwa marioo ni bahati shekh sizani kama kila mwanaume ana hilo kaziaHii tabia naona inashika kasi siku hizi! Hata hawaoni aibu. Badala ya kukemewa ndio kwanza inapongezwa.
Kama wewe ni Mwanaume uwe unakaa mbali na "Posts" za WANAMUME, maana hata rafiki yako Elton John anao uume. Ukiona post ya Mwanamume pita mbali
Kwa mujibu wa Mange ,Harmonize amemwaga Wolper kisa Wolper ananuka KKwa story za kunyapia nyapia zinadai kuwa harmonize na wolper gambe washabwagana na kila mtu kachukua 50 zake na kwa ubuyu unaosambaa mjini unadai kuwa Dogo kapata mtt mkaliii wa kitaliano anajulikana kwa jina la sarah na tyari yupo mimba....so mda cyo mrefu harmonize ataitwa baba......demu nasikia anamkwanja wa kutosha ndo anaempa jeuri harmonize apa mjini ndo maana kila siku anabadili dinga tu mara Prado mara Audi.
Hongera sana mmakonde kama izo story ni za kweli.....endelea kuliwakilisha taifa kwa huyo muitaliano.
Umefata nini huku celebrities forum?Sasa sisi inatuhusu nini??
Ohoooo!!!kwa uzuri wote inamaana anashindwa kujisafisha.Kwa mujibu wa Mange ,Harmonize amemwaga Wolper kisa Wolper ananuka K
Hao uliowataja mkuu wanajielewa sio kama huyu mleviHuyu binti anaaibisha sana watu wa kaskazini badala ya kutolea macho mapato yeye yuko na skendo za kuuza nyapu hivi haoni mfano kwakina IRENE KIWIA,NANCY SUMARY na mabinti wengine wa chuga wasio na upuuzi.
Ni kutoka kwa Shilawadu.. wawili hawa wanadaiwa kuachana, sijui inatokana na bidada huyu kuchafuliwa na hyule mwingine anayeishi mamtoni ama vipi, maana amekuwa akipost mambo ya kumdhalilisha dada huyu huko Insta, na watu wengi wanavyomuamini Harmonize akaona isiwe shida...
Aisee! Basi hongereniKuwa marioo ni bahati shekh sizani kama kila mwanaume ana hilo kazia
Harufu gani?Mmh kisa mange kimambi au kisa harufu yake ndio imesababishwa atemwe
K for kwapaK ikinuka inapoteza hisia matokeo yake badala ya kupiga sita unapiga 2
Kwa mujibu wa Mange ,Harmonize amemwaga Wolper kisa Wolper ananuka K
Mkuu mikucha Ka jini 24/7 atasafisha saa ngapi k????Ohoooo!!!kwa uzuri wote inamaana anashindwa kujisafisha.