Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,258
Hahaha usijali utamaliza tu kipenzi, Kila la kheriinaenda poa kabisa nipo ukingon kuimaliza maaana ishanichosha
Hahaha usijali utamaliza tu kipenzi, Kila la kheriinaenda poa kabisa nipo ukingon kuimaliza maaana ishanichosha
happy birthday kama memba mwenzako napenda kukutakia maisha marefu yenye baraka tele.pia ntakumia zawadi ya pempashabarini za siku wakuu.....leo ni siku yangu ya kuzaliwa natimiza miaka kadhaa ....namshukuru mungu kwakunifikisha katika umri huu
Hahaha usijali utamaliza tu kipenzi, Kila la kheri
Hahaha tumezoea wenyewe. Utaanzaje kumuita mwanaume mwenzio "kipenzi" au dear au swts? WeeeeeeeWanawake mnanifurahisha sana mnavyoitana majina mazuri, ukimwita mwanamme mwenzio hivi ngumi zake noma.
Sasa si ubaguzi huo mweeh....Hahaha tumezoea wenyewe. Utaanzaje kumuita mwanaume mwenzio "kipenzi" au dear au swts? Weeeeeee
Hahaha temme swts. Me hata kukuita majina sweet sweet mbona poa tu. Ila wanaume kuitana dears ndo balaa
Hahaha temme swts. Me hata kukuita majina sweet sweet mbona poa tu. Ila wanaume kuitana dears ndo balaa
Mmh me nawaitaga tu vizuri male friends zangu "my dear" etc. Ngoja siku nije nizabuliwe na gf zaoKwa sie hapanaaa....
Hapaana. Nlidhani wewe huwezi kuniita hvyo..
Kumbe ndo maana mnaogopa...Mmh me nawaitaga tu vizuri male friends zangu "my dear" etc. Ngoja siku nije nizabuliwe na gf zao
Happy birthday to you... Older than yesterday younger than tomorrowhabarini za siku wakuu.....leo ni siku yangu ya kuzaliwa natimiza miaka kadhaa ....namshukuru mungu kwakunifikisha katika umri huu
Majina mazuri tunaitana, ingawa na unafiki tunao sana tu. Hahaa wewe uzungu wa kuitana swthrt kwa baby wa mwenzio weeeKumbe ndo maana mnaogopa...
Alafu siku moja nliona msichana anamwita mwezake sweetlove baada ya maongezi yao mazuri, yule mwengine alivyogeuka akamn'gon'ga(ile kumzome)
Majina mazuri tunaitana, ingawa na unafiki tunao sana tu. Hahaa wewe uzungu wa kuitana swthrt kwa baby wa mwenzio weee
Hahaha unavumilia nini sasa?Kumbe sie tunavumilia tuu, wewe unamwita beib sweetlove mmmmh.
Unavyomuita my bby. ..mara loveswt, mara hnylvHahaha unavumilia nini sasa?
Happy birthday
Hahaha siwaiti sana siku hizi, hukawii kuambiwa "nenda kwa huyo huyo hnylov wako" tehUnavyomuita my bby. ..mara loveswt, mara hnylv