Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,948
- 32,056
HAPO ZAMANI ZA KALE
''Hadithi, hadithi.''
Msimuliaji atanadi kama vile anauza kitu.
Wasikilizaji wataitika ''Hadithi njoo, utamu kolea.''
Msimuliaji atajibu, '' Hapo zamani za kale...''
Simulizi itaanza.
Sijui nianzeje na sijui niseme kitu gani.
Kilichonisukuma kuweka picha hizo mbili ni maneno wanayoniamdikia wasomaji wangu wengi wakieleza yale wanayosoma kutoka katika makala zangu na vitabu nilivyoandika kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.
Ningeweza kuweka baadhi ya hayo wanayoniandikia hapa ili sote tunufaike na maneno yao lakini kwa bahati mbaya haya wanayoniandikia yana kasoro.
Kasoro hizi ndizo zinazonizuia kuweka hayo hadharani.
Sifa wanazoandika zimekuwa nyingi kupita kiasi.
Mzigo wa maneno ya kushambuliwa ni mwepesi kubeba.
Mzigo wa sifa ni mzito.
Tabu kubebeka.
In Shaa Allah itaendelea...
Ingawa bado sijajua naanzaje.
Abbas Kleist Sykes (1929 - 2021)
Kitwana Selemani Kondo (1930 - 2017)
''Hadithi, hadithi.''
Msimuliaji atanadi kama vile anauza kitu.
Wasikilizaji wataitika ''Hadithi njoo, utamu kolea.''
Msimuliaji atajibu, '' Hapo zamani za kale...''
Simulizi itaanza.
Sijui nianzeje na sijui niseme kitu gani.
Kilichonisukuma kuweka picha hizo mbili ni maneno wanayoniamdikia wasomaji wangu wengi wakieleza yale wanayosoma kutoka katika makala zangu na vitabu nilivyoandika kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.
Ningeweza kuweka baadhi ya hayo wanayoniandikia hapa ili sote tunufaike na maneno yao lakini kwa bahati mbaya haya wanayoniandikia yana kasoro.
Kasoro hizi ndizo zinazonizuia kuweka hayo hadharani.
Sifa wanazoandika zimekuwa nyingi kupita kiasi.
Mzigo wa maneno ya kushambuliwa ni mwepesi kubeba.
Mzigo wa sifa ni mzito.
Tabu kubebeka.
In Shaa Allah itaendelea...
Ingawa bado sijajua naanzaje.
Abbas Kleist Sykes (1929 - 2021)
Kitwana Selemani Kondo (1930 - 2017)