mwl. mziray
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 598
- 404
Jibu ni rahisi sana. Kama wewe ni mkristo tafuta watumishi wa mungu wakuombee (watumishi hasa sio wale ambao matendo yao yanakinzana na maneno yao).
Kama ni muislam fuata taratibu za kufanyiwa dua.
Hapo utatatua tatizo lako.
Kama ni muislam fuata taratibu za kufanyiwa dua.
Hapo utatatua tatizo lako.