Hapa tanzania kuna mtu bado anajiona ni raisi japo sio raisi

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
9,564
20,741
Ex president huyu naona kama kawa mfalme sasa kwenye nchi hii.
Uwezi kusema umetumwa na raisi hata kenya yenyewe kasongo ajawai kumtuma kenyata.

Tokea utawala huu jamaa kawa kama mfalme mkubwa sana
 
Ni sultani hasa, kaonyeshs kwenye kumteua Samia kuwa mgombea pekee kinyume na taratibu zote.
 
Ex president huyu naona kama kawa mfalme sasa kwenye nchi hii.
Uwezi kusema umetumwa na raisi hata kenya yenyewe kasongo ajawai kumtuma kenyata.

Tokea utawala huu jamaa kawa kama mfalme mkubwa sana
Mbona hata kuna mzanzibar anajiona Rais wakati hakubariki na hata NZI WA KIJANI WA CHOONI WA CHAMA CHAKE
 
Ex president huyu naona kama kawa mfalme sasa kwenye nchi hii.
Uwezi kusema umetumwa na raisi hata kenya yenyewe kasongo ajawai kumtuma kenyata.

Tokea utawala huu jamaa kawa kama mfalme mkubwa sana
Sasa kama lililopo ni andazi yeye afanyeje?
 
Ex president huyu naona kama kawa mfalme sasa kwenye nchi hii.
Uwezi kusema umetumwa na raisi hata kenya yenyewe kasongo ajawai kumtuma kenyata.

Tokea utawala huu jamaa kawa kama mfalme mkubwa sana
Mbona mbowe alikuwa Mfalme kwa miaka 20 na hamkusema? Uyo mnayemsema Mfalme kwanini aliondoka baada ya muda wake Kuisha?
 
Back
Top Bottom