Haney apigwa vibaya na Ryan Garcia

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,262
11,577
Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na pambano Kali la ngumi Kati ya Ryan Garcia na Devin Haney pambano ambalo Davin aliangushwa chini mara 4 huku akichezea kichapo kikali,

Kumbuka Davin ni bondia ambae amekuwa akibebwa sana hasa katika pambano pake na Lomachenko vasily alipigwa lakini ushindi akapewa yeye

Fuatilia hilo pambano hapo

Davin ni huyo black

Ryan ni Mweupe


View: https://youtu.be/lPuGVHsTMn0?feature=shared
 
Back
Top Bottom