LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,262
- 11,577
Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na pambano Kali la ngumi Kati ya Ryan Garcia na Devin Haney pambano ambalo Davin aliangushwa chini mara 4 huku akichezea kichapo kikali,
Kumbuka Davin ni bondia ambae amekuwa akibebwa sana hasa katika pambano pake na Lomachenko vasily alipigwa lakini ushindi akapewa yeye
Fuatilia hilo pambano hapo
Davin ni huyo black
Ryan ni Mweupe
View: https://youtu.be/lPuGVHsTMn0?feature=shared
Kumbuka Davin ni bondia ambae amekuwa akibebwa sana hasa katika pambano pake na Lomachenko vasily alipigwa lakini ushindi akapewa yeye
Fuatilia hilo pambano hapo
Davin ni huyo black
Ryan ni Mweupe
View: https://youtu.be/lPuGVHsTMn0?feature=shared